Real Madrid (‎Los Blancos) | Special Thread

Real Madrid (‎Los Blancos) | Special Thread

Duuuh!!! La Liga ni ligi pekee isiyo kuwa na goal line technology katika major European league
 
Rodrygo, what a player.Pulling strings hapo mbele, kulia na kati. His partnership na Vini ni kitu hatari sana. Ujio wa Mbappe kila nikiufikiria, naona next season, maji yataitwa mma.

Kuna watu wanapenda kuota sana humu ndani na majukwaa mengine. Eti Auzwe Vini kwa ujio wa Mbappe. A fully fit Vini anaanza mechi zote za Madrid.

Same na jukwaa la Liver, kuna wadau nao huwa wanaota Bradley aanze mbele ya fully fit Trent. Its insane
 
Hatuna watu sahihi wa kufanya hiyo kazi Mzee, Mipira mingi inadondokea kwa Vini na yeye huwa hana pasi za mwisho nzuri kwa wenzie., hapo labda Ancelloti amrudishe kati na Rodrygo atokee kushoto.
Luca au Kroos, mmoja amuache mwenzake. Camavinga au Tchouameni aje kati. Then tuonyeshane makali.
 
Back
Top Bottom