Wewe jamaa hii timu watu wanaifatilia kuliko unavyofikiri. Hapa nakuletea comments za wadau kuhusu Valverde before Ancelloti hajaja tena Madrid [2021]
Mwaka 2018
Cesar Caspar anaandika ''Valverde ninhabari nyingine kabisa, yule dogo anakimbia uwanja mzima, ni bado anacheza kwa tahadhari ila ana uwezo mkubwa tu wa kupiga nje ya box, Kovacic kwa alichofanya msimu...''
Rapherl 2019: Fede Valverde has impressed Zinedine Zidane, and is set to be given a number of opportunities in the games that remain, with a view to him becoming an important player next season. Zinedine Zidane is a fan of the midfielder's strength, dynamism and versatility. [MARCA]
Cesar Caspar 2019: ''Kila mmoja alicheza vyema ila Valverde alicheza vizur zaidi, Dogo ana uwezo mkubwa sana wa kufanya marking na kupress, uwepo wake uwanjani unampunguzia Casemiro majukumu na kuwapa Kroos/Modric muda wa tune mchezo wa team...''
PAGAN 2019: ''Kitu kingine, ya nini umsaini Pogba wakati kuna Fede Valverde? Dogo ana vitu vyote anakaba with unexpected tackles, air duals, akishambulia ana pace, speed na mpira unanata mguuni.''
Hizo ni chache tuu. Ila utaona Valverde amekuwa consistent since ametoka Castilla mwaka 2017. Comment yako imekaa kiduanzi kiduanzi, kama inaonyesha ulikuwa na shida zamani na Valverde kama ulivyo na shida na Jude sasa hivi.