Cesar Caspar
JF-Expert Member
- Jul 31, 2015
- 3,754
- 6,490
Tuna dakika nyingine 45 za kucheza., ni ngumu kweli kweli kucheza low block kama vijana hawana nidhamu., acha tuone kipindi cha pili vijana watarudi vipi.
Idea ni kujilinda na kushambulia inapotekea nafasi, ila shida ni kwamba hiyo nafasi ikipatikana unakuta tuna mtu mmoja tu mbeleNaangalia mpira huku nmeshika tumbo mda wowote tunawekwa goli , huu mfumo wa kukaa nyuma sijaupenda
Vijana wakiwa watatu tu mbele wanatosha kabisa kuwatingisha City.,
Hivi militao ni msomali?Miltao nasikia yupo fit sa hv.
Yes. Ni mdogo wake BasheHivi militao ni msomali?
au P didyYes. Ni mdogo wake Bashe
Hivi militao ni msomali?
Tpaul banaYes. Ni mdogo wake Bashe
Kwa iyo naye ana tabia ya kuzibua mitaro.ana udugu wa kifamilia na Ali Msomali
Kwa iyo naye ana tabia ya kuzibua mitaro.
its part of the plan now watchDah! mambo yashakuwa magumu
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] muda bado tuliaaaaaDah! mambo yashakuwa magumu