Real Madrid (‎Los Blancos) | Special Thread

Real Madrid (‎Los Blancos) | Special Thread

Kukosekana kwa Tchou kesho inanipa wasiwasi aiseee kudadeq..pale kati sasa si mvujo.
Hata usiwe na shaka man, game iliyopita alicheza kama beki wa kati., shida ni kwamba ni nani ataanza pamoja na Rudiger? Hapo ndipo kwenye changamoto., ila kati Camavinga, Kroos na Valverde watahusika kwa mara nyingine
 
Hata usiwe na shaka man, game iliyopita alicheza kama beki wa kati., shida ni kwamba ni nani ataanza pamoja na Rudiger? Hapo ndipo kwenye changamoto., ila kati Camavinga, Kroos na Valverde watahusika kwa mara nyingine
Kukosekana kwa Tchou kesho inanipa wasiwasi aiseee kudadeq..pale kati sasa si mvujo.

Kucheza kwakwe beki ilikua tatizo kubwa, Yale magole mawili angekuepo kati angeweza kukava space, Camavinga na tatizo kubwa sana la kutokaa position anapocheza DM. Tchou ni muhimu sana
 
Ndugu zetu Atlético Madrid na watani zetu Barca Hawajatolewa wamefukuzwa daah.

Ila Yule Rafa wa pale camp nou kanikosha sana, kasawazisha Yale makosa alifanyaga mwenzie 2017
Yule jamaa hata hukuwa anajali kuwa Barca wapo nyumbani wala nini., ule Ubabe ni noma.
Leo ni zamu yetu., ni matumaini yangu vijana wameamka vizuri leo.
 
Spain wote leo bye bye.

Hakuna namna Kipara ataacha kuwanyoa na kipande cha chupa.
 
Ndugu zetu Atlético Madrid na watani zetu Barca Hawajatolewa wamefukuzwa daah.

Ila Yule Rafa wa pale camp nou kanikosha sana, kasawazisha Yale makosa alifanyaga mwenzie 2017

Dah Atletico wamesikitisha sana, Nilitamani wasonge mbele
 
Naomba Carlo asifanye kosa Kama alilofanya msimu uliyopita Kwa kukaa nyuma na kuwasubirli City waje,

Tuna Damu changa wengi sasaivi kwahyo mnara wa mabao ufungwe na Mwenge wa kisasi Kama uliowahi kuwaka pale Alians Allena na Stanford bridge, sasa uwashwe pale Etihad kuanzia dakika ya 0 mpaka 90.

Yaani Tupishane Tu kila mtu atafute bao anavyoweza na azuie anavyoweza,

Naamini "Mara ya mwisho city kupoteza mechi akiwa Etihad ni April 17 2024.
 
Back
Top Bottom