K11
JF-Expert Member
- Oct 15, 2014
- 4,184
- 13,510
Siyo kwa maoni yako bali huo ndo ukweli mchungu.Hatimaye ule ubishani umefikia tamati. Siwashabikii City ila ni ukweli usio na shaka kuwa City ndio timu bora zaidi duniani kwa sasa ( kwa maoni yangu)
Hakuna timu ya kuilinganisha na City Duniani kote