Real Madrid (‎Los Blancos) | Special Thread

Real Madrid (‎Los Blancos) | Special Thread

Watu kama Hao siwezi poteza muda kubishana nao ....

Mtu kaangalia mpira kabisa ..

Bernardo silva kafanya clearence mpira unataka kutoka ,mbaya zaidi ,mbaya zaidi haikuonekana kama ulikuwa umetoka au laaah ,....

Baada ya hio clearence camavinga ndio aliwin mpira ,kiufupi baada ya bernado silva kupiga huo mpira mnaosema umetoka nje ulifikia miguuni mwa camavinga ,referee alipeta Kwa sababu ni advantage Kwa Madrid,na Hilo liko wazi ,muda huo hata wachezaji wa madrid walilidhika kabisa ,...Madrid wamecheza huo mpira pass after pass wakanyanganywa ,ndio city akamiliki mpira na kufunga ....which is another phase ..........

Mtu kama Carlo unakuta analialia sijui ulitoka anashindwa kusema baada ya kutoka wao ndio walipossess kama advantage...acheni ujanja ujanja chezeni football

Sijui kwanin watu wanashindwa kuona hiki kitu ,wanataka kitongaa na kuja na vipicha vya kijinga ,wanafikili referee ,var ,zaidi ya camera 20 ziko uwanjan zilikuwa hazioni kinachoendelea ....
Tulia we kiazi
 
Sisi hua hatuendi huko kwao ajabu wao wanakuja huku na matusi yao yaani shabiki wa RMA nipoteze mda wangu kubishana na mtu wa Man city ni upotevu wa mda na nguvu

Man city haina mashabiki. Shabiki yeyote wa city ni either mtoto sana au shabiki wa timu nyingine anayetafuta faraja kwa city na wote ni wajinga wajinga.
 
Binafsi sijawahi ona mashabiki wa real Madrid bongo hata jf hakuna ....

Hakuna mtu anayefuatilia ligi mbovu kama la Liga ,week after week hata vibanda umiza huwezi Kuta wanapoteza muda kuangalia la Liga ,ni Bora kucheki game za Brighton vs lecister city .....



nyie wote humu ni mamruki ambao mnatokoea msimu wa UEFA tu na kupoteana baada ya mashindano ya UEFA kuisha ....kisa Madrid anacheza UEFA .....


Futeni huu Uzi hauna maana
 
Madrid Haina mashabiki bongo bana ,hawa ni mamruki wanaojitokeza kipind cha UEFA ,baada yapo yanarudi kwenye team zao

Nan anapoteza muda kuangalia la Liga ,mambo mengine unacheka tu
 
Hili timu halina nafasi bongo ,sijui hata Hawa mashabiki wanatoka wapi ....

Maana hakuna mtu anayefuatilia huko la Liga ...

Majitu yamekaza fuvu tu kudandia timu ,UEFA ikiisha huwezi kuyaona humu Tena ....

Epl is football the best league ,laliga huko wanacheza soccer na hakuna mtu anayefuatilia ...

Ni Bora kuangalia brighton vs man united kuliko Madrid vs ossasuna ndio ujue nyie mamruki mmeyakanyaga ,tafuteni timu za kushabikia bana ....
 
Mechi ilikua ya ushindi kabisa, Kuna kazi kubwa Etihad
Kwa mtazamo wangu,kila timu ina kazi kubwa kwa sababu sasa hvi kwanza hakuna mambo ya away goal...ni ngoma mnahesabiana tofauti ya magoal..pamoja na kuwa wametoa sare ila timu imeweza kucheza vyema nakutengeneza nafasi...pamoja na hoja kuwa city inapewa chapuo(kama ilivyo misimu yote) lakini sisi tuna team ambayo inaweza kupata matokeo uwanja wowote ule na angalia trending ya madrid toka miaka ya nyuma,second leg hatua ya mtoano ndio inakuwa hatar zaidi kuliko first leg.

Binafsi nina imani kubwa sana yakubeba ndoo hii tena msimu huu,tutaenda kushinda kwao pale pale.

Sent from my SM-A336E using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom