Real Madrid (‎Los Blancos) | Special Thread

Real Madrid (‎Los Blancos) | Special Thread

Labda sheria mpya ya offside japo Sina uhakika
GK akitoka golini beki/ mchezaji wake aliyepo karibu na goli hutazamwa na Sheria kama GK ndio maana unaona ukitokea kwenye mstari wa goli wakwanza mchezaji wa liva then benzema hivyo alikuwa offside benzema lakini swali ni kwamba kama fede aliuwini mpira basi wachezaji wa liva walimchezea faulo then why haijawa penati
 
Labda sheria mpya ya offside japo Sina uhakika

Sio sheria Mpya ni ya Zamani kama sheria Nyengine jaribu kugoogle Offside rule utaelewa kuwa mbele ya mshambuliaji kukiwa na Mchezaji asiyezidi mmoja basi ni Offside ndiyomana ukiwa mbele ya mabeki wote mbele yako kukiwa na Kipa tu ni Offside unless kuwe na Kipa na Beki Yani wachezaji wawili.

Sasa pale Kipa wa Liverpool alitoka hivyo nyuma kukabaki na mchezaji mmoja tu wa Liverpool ndiyomana ikawa offside
 
GK akitoka golini beki/ mchezaji wake aliyepo karibu na goli hutazamwa na Sheria kama GK ndio maana unaona ukitokea kwenye mstari wa goli wakwanza mchezaji wa liva then benzema hivyo alikuwa offside benzema lakini swali ni kwamba kama fede aliuwini mpira basi wachezaji wa liva walimchezea faulo then why haijawa penati
Hapa kidogo nimeelewa
 
Sio sheria Mpya ni ya Zamani kama sheria Nyengine jaribu kugoogle Offside rule utaelewa kuwa mbele ya mshambuliaji kukiwa na Mchezaji asiyezidi mmoja basi ni Offside ndiyomana ukiwa mbele ya mabeki wote mbele yako kukiwa na Kipa tu ni Offside unless kuwe na Kipa na Beki Yani wachezaji wawili.

Sasa pale Kipa wa Liverpool alitoka hivyo nyuma kukabaki na mchezaji mmoja tu wa Liverpool ndiyomana ikawa offside
Sawa chief nakukubali sana kwenye hii sekta ya uchambuzi unaitendea haki hongera, Ila kwann isingekuwa penalty maana naona kuna mchezaji wa Madrid alichezewa rafu refa si angetoa fair kwa kulikubali goli?
 
GK akitoka golini beki/ mchezaji wake aliyepo karibu na goli hutazamwa na Sheria kama GK ndio maana unaona ukitokea kwenye mstari wa goli wakwanza mchezaji wa liva then benzema hivyo alikuwa offside benzema lakini swali ni kwamba kama fede aliuwini mpira basi wachezaji wa liva walimchezea faulo then why haijawa penati
Ndo ile km ya Azam vs Kagera sugar,
 
Mwenyewe nashangaa mpira kagusa Konate, pasi kwenda kwa Benzema ni goti la Fabinho hakuna Offside, wametupigia mistari as if pasi Imetoka kwa Velverde.

Na kama Pasi imetoka kwa Velverde means Konate/Fabinho hawajawin mpira basi ni Penalty.

Kwahiyo unamaanisha mpira uliochezwa na Fabinho ni moja kwa moja ulimfika Benzema bila ya kuchezwa na mchezaji wa Real Madrid?
Labda tunaangalia mechi tofauti
 
Hawa kuku wameingia uwanjani wakiwa wamepania kupata matokeo ya haraka first half ila mpango wao umegonga ukuta sasa ngoja wakafanye hizo sub kina Origi ndo mwabamize na kuwabamiza.
 
Sawa chief nakukubali sana kwenye hii sekta ya uchambuzi unaitendea haki hongera, Ila kwann isingekuwa penalty maana naona kuna mchezaji wa Madrid alichezewa rafu.

Fabinho ameicheza mpira ndiyomana haikuwa Faulo, ila mpira alioucheza Fabinho kabla ya kumfika Benzema kuna mchezaji wa Real aliucheza Kwavile siko Familiar sana na Real kwa Jina sijamjua ni nani.
 
Kwahiyo unamaanisha mpira uliochezwa na Fabinho ni moja kwa moja ulimfika Benzema bila ya kuchezwa na mchezaji wa Real Madrid?
Labda tunaangalia mechi tofauti
Technology mkuu ni kubwa sababu tumeangalia haimaanishi eti hatuwezi kuirudia
Video hii hapa


Mpira umetoka kwa Konate, ukaenda kwa Fabinho ukaenda kwa Benzema, Tueleweshe offside ipo wapi
 
Back
Top Bottom