Cesar Caspar
JF-Expert Member
- Jul 31, 2015
- 3,703
- 6,359
Ila mpira wa mwisho ameugusa Fabinho., hapo ndipo waliponiacha kwa kweli.,Labda sheria mpya ya offside japo Sina uhakika
Kama offside ni ule mpira wa kwanza basi nitaelewa
Ila mpira wa mwisho ameugusa Fabinho., hapo ndipo waliponiacha kwa kweli.,Labda sheria mpya ya offside japo Sina uhakika
GK akitoka golini beki/ mchezaji wake aliyepo karibu na goli hutazamwa na Sheria kama GK ndio maana unaona ukitokea kwenye mstari wa goli wakwanza mchezaji wa liva then benzema hivyo alikuwa offside benzema lakini swali ni kwamba kama fede aliuwini mpira basi wachezaji wa liva walimchezea faulo then why haijawa penatiLabda sheria mpya ya offside japo Sina uhakika

Labda sheria mpya ya offside japo Sina uhakika
Wametuibia goli letu
Hapa kidogo nimeelewaGK akitoka golini beki/ mchezaji wake aliyepo karibu na goli hutazamwa na Sheria kama GK ndio maana unaona ukitokea kwenye mstari wa goli wakwanza mchezaji wa liva then benzema hivyo alikuwa offside benzema lakini swali ni kwamba kama fede aliuwini mpira basi wachezaji wa liva walimchezea faulo then why haijawa penati![]()
Kawaida kwa Madrid misimu kwa misimu, kuna style fulani wanaonekana kama wamerelax hivi.Timu ipo weak sn na inashambuliwa sanaaaa.sijuiii kama kutakuwa na usalama
Sawa chief nakukubali sana kwenye hii sekta ya uchambuzi unaitendea haki hongera, Ila kwann isingekuwa penalty maana naona kuna mchezaji wa Madrid alichezewa rafu refa si angetoa fair kwa kulikubali goli?Sio sheria Mpya ni ya Zamani kama sheria Nyengine jaribu kugoogle Offside rule utaelewa kuwa mbele ya mshambuliaji kukiwa na Mchezaji asiyezidi mmoja basi ni Offside ndiyomana ukiwa mbele ya mabeki wote mbele yako kukiwa na Kipa tu ni Offside unless kuwe na Kipa na Beki Yani wachezaji wawili.
Sasa pale Kipa wa Liverpool alitoka hivyo nyuma kukabaki na mchezaji mmoja tu wa Liverpool ndiyomana ikawa offside
Ndo ile km ya Azam vs Kagera sugar,GK akitoka golini beki/ mchezaji wake aliyepo karibu na goli hutazamwa na Sheria kama GK ndio maana unaona ukitokea kwenye mstari wa goli wakwanza mchezaji wa liva then benzema hivyo alikuwa offside benzema lakini swali ni kwamba kama fede aliuwini mpira basi wachezaji wa liva walimchezea faulo then why haijawa penati![]()





Mwenyewe nashangaa mpira kagusa Konate, pasi kwenda kwa Benzema ni goti la Fabinho hakuna Offside, wametupigia mistari as if pasi Imetoka kwa Velverde.
Na kama Pasi imetoka kwa Velverde means Konate/Fabinho hawajawin mpira basi ni Penalty.
Sawa chief nakukubali sana kwenye hii sekta ya uchambuzi unaitendea haki hongera, Ila kwann isingekuwa penalty maana naona kuna mchezaji wa Madrid alichezewa rafu.
Ila Dk 90 badoTayariiiiiiii
Technology mkuu ni kubwa sababu tumeangalia haimaanishi eti hatuwezi kuirudiaKwahiyo unamaanisha mpira uliochezwa na Fabinho ni moja kwa moja ulimfika Benzema bila ya kuchezwa na mchezaji wa Real Madrid?
Labda tunaangalia mechi tofauti