Mervin
JF-Expert Member
- Sep 28, 2021
- 1,916
- 2,638
Mimi nawambia tu sio kwamba mna timu nzuri Sana ,ila kichapo mtakachokutana nacho Leo mtajuta kuingia uwanjani![]()
.
Mimi nawambia tu sio kwamba mna timu nzuri Sana ,ila kichapo mtakachokutana nacho Leo mtajuta kuingia uwanjani![]()
www.epicsports.online.Madridsta wenzangu mie sina king'amuzi cha DSTV.
Halafu naogopa Panya Road wakati narudi toka kibanda umiza.
Nisaidieni linki nitazame game kwenge simu yangu.
Www.epicsports.online.Wale wa online tupeane link zinazo onesha game online
Natamani Sana Madrid amchape Liverpool lakin daaa sioni Madrid akimfunga kabisa

Game imesogezwa tena mbele mpaka saa 22:30hrs saa za Africa Mashariki.