GUI1
JF-Expert Member
- Oct 4, 2017
- 4,362
- 5,606
Kwani mlikuwa na mpango huo mkuu?Binafsi naona msimu huu ni msimu wa kujipanga na kujianda na msimu ujao, sioni tukinyanyua kwapa this season.
Kesho Chelsea anapigwaMsiba juu ya msiba
Lopetegu kwa heri
Sawa mkuu nimekuelewa... Nilikuwa sifahamu kama unaweza ukalinganisha Ronaldo na Benzema kwenye ufungaji... Tuyamalize tuuu
Mkuu mpira ndivyo ulivyo huwezi kuwa timu bingwa miaka yote.Kwani mlikuwa na mpango huo mkuu?
Pole mkuu, huo ndio ukweli. Kama umelijua hili basi wewe hutapata shidaBinafsi msimu huu naona ni msimu wa kujianda na msimu ujao
Mkuu mpira ndivyo ulivyo huwezi kuwa timu bingwa miaka yote.
Mkuu ucjipe moyo sana ronald angekuep kwny hz game angewez kubdl matokeo hata kama uko juv ana bao 4 mpaka sasa ila kumbuka kule ni sehem mpy kwak na bhado anaonesha kwmb anawez ila madrid yetu hi ya sahv game 4 mfululiz awajaona goli maombi muhmRonaldo huko Juventus amefanya nini mpaka saivi? angoli sawa na Benzema tu kwaio hakuna tofauti ya kiperformance na ukitizama zaidi Juventus ni dominating zaidi kwenye ligi yake alitakiwa awe na magoli zaidi.
Na timu kufanya vibaya kwa kipindi ni matokezeo yakawaida kwenye football. Wakati Real Inakula vichapo mwaka jana mpaka ikafikia ya 7 kwani Ronaldo hakuwemo?
Na madrid nay ni dominting club pia iltakiw iwe inafunga sanaRonaldo huko Juventus amefanya nini mpaka saivi? angoli sawa na Benzema tu kwaio hakuna tofauti ya kiperformance na ukitizama zaidi Juventus ni dominating zaidi kwenye ligi yake alitakiwa awe na magoli zaidi.
Na timu kufanya vibaya kwa kipindi ni matokezeo yakawaida kwenye football. Wakati Real Inakula vichapo mwaka jana mpaka ikafikia ya 7 kwani Ronaldo hakuwemo?
Sure, Sijawahi kuona Salamander akimjibu mtu vibaya. He's a nice person!Nadhani wamepoteza points nyingi mpaka amejua kiswahili, lkn mshabiki mstaarabu sana huyu jamaa
Tena ana goli 4...assist 4...key passes za kutosha na ame create big chances 5...sio hzi takataka zetuuMkuu ucjipe moyo sana ronald angekuep kwny hz game angewez kubdl matokeo hata kama uko juv ana bao 4 mpaka sasa ila kumbuka kule ni sehem mpy kwak na bhado anaonesha kwmb anawez ila madrid yetu hi ya sahv game 4 mfululiz awajaona goli maombi muhm
Hii sio team ya kupigwa kirahisi sasa hiviKesho Chelsea anapigwa
unaongea utoto mpk una boaMkuu unanitia shaka kidogo kuwa weye ni mshabiki wa real. hivi kufunga Penalt ya dakika 98 kama unavosema imekua ndio ishu kwa timu kama Real? unafahamu kuna wachezaji wangapi ndani Real Ambao ni World Cup winners? Real imejaa walled class players mkuu. Ramos, Kroos, Modric, Marcelo, Bale hamna ataetetemeka kupiga Penalt eti kwakua dakika ya 98.
Na unapozungumza game zinakua ngumu halafu yeye anasimama anasimama wapi? kwa kuvizia chini ya box mzpira uzagae afunge ndio ugenius? Modric, Kroos na Marcelo ndio wamekua best player for the last 5 years ndani ya Real Madrid. Huyo Ronaldo na bale wamukua wakivizia tu.