Usitake kutuaminisha kama champion leagu zileltwa na Ronaldo, Sipingi kama hakuna mchango wake Lakini Mafanikio ya Real Madrid yameletwa na worl d class players ambao wamekuwmo kwenye timu na Si Ronaldo tu, Bale, Di Maria, Modric, Kroos, Marcello, Pepe, Ramos, Benzema, Carvajl, Alonso, Isco.
Halafu eti kusema eti uwepo wake unaifanya timu ijutume ijitume vipi labda utusaidie. Mkuu unawafaha vizuri Modric na Kroos? kazitizame performance zao ndani ya world cup labda ndio utawahamu vizuri. Unapotimzama mpira kuwa makini na mpira wenyewe nasio utizame kishabiki.