Mkuu ucjipe moyo sana ronald angekuep kwny hz game angewez kubdl matokeo hata kama uko juv ana bao 4 mpaka sasa ila kumbuka kule ni sehem mpy kwak na bhado anaonesha kwmb anawez ila madrid yetu hi ya sahv game 4 mfululiz awajaona goli maombi muhm
Hata Real pia inajikita kwenye mfumo mpya na kocha mpya, kwaio pia time of adopting inahitajika. au hamujaliona hilo? Uandokaji wa Zidane ni Pigo kybwa kwa Real Kuliko Ronaldo kwa sasa.
Kwahisabu zako kimakaidiro angekua tayari ana goli zaidi ya 10 saivi. kwaisabu ya angekua anfunga moja moja tu kila mechi. Lakini pia kumbuka msimu aliomaliza mpaka mzunguko wa mwanzo unakatibia kumaliza alikua ana magoli ma 4. Kwaio maelezo yako hayaleti gerentii.
Ila nakubali kama Real Wangelipewa Leo Messi basi hata goli 15 tunagekua tunakaribia kuzihesabu.