Real Madrid (‎Los Blancos) | Special Thread

Real Madrid (‎Los Blancos) | Special Thread

Perez ndie main brain behind Real Madrid Success. Huwezi fahamu ilo wewe Tuulize sie wadau wa Real Madrid.
Kwasasa aendelee kupambana na kesi zake mana nasike kabaka uko.
Perez???? It's true Perez helped us when we were running bankruptcy in 2000,modernised the club and helped to consolidate us commercially ...but he has been making so many mistakes in footballing terms... That season when mambo yalikuwa yanaenda vibaya kipind cha Benitez Perez alikuwa aondoke... But Zizzou came in and saved his arse... But kwa haya makosa ya kuwatoa Ronaldo na Zizou in the same summer sijui kama yatarekebika...
 
ndio mpira jameni jipangeni msimu ndio kwanza unaanza
The good thing ni kwamba msimu huu kila timu haijatilia... Kila timu inafungwa... Barca nae anapoteza kama sisi... Atletico likewise... People are dropping points like hell... Hii ligi kama bingwa hajawa na point 60-70 sijuii
 
The good thing ni kwamba msimu huu kila timu haijatilia... Kila timu inafungwa... Barca nae anapoteza kama sisi... Atletico likewise... People are dropping points like hell... Hii ligi kama bingwa hajawa na point 60-70 sijuii
Sisi barca hatupotezi tena utaona kuazia kesho
 
8f446215a52e7d2685010684be9f0cbc.jpg
 
Perez mpaka aseme ukweli dk 700 mechi ya 4 hata kagoli hakuna team imeondoa bunduki ikabakisha mapanga, tusubiri show la kibabe elclasico Barça wanavyopenda sifa goli sita zitamdondokea mtu ,hakuna kiongozi forward line, watu wanakimbia bila mipango immaturity imejaa

Yani mkuu hiyo mechi itamfukuzisha mtu...wee subiri utajionea mwenyewe yani kwa namna ile juzi messi alivyoichezea backline ya spurs vertogen...sijui atatufanya vipi real na ni tarehe 28 mwezi huu...yasije tokea yale ya mourinho alivyopigwa 5-0, na kwa jinsi nilivyomuona huyu kocha lopetegui huwa hana kabisa mbinu mbadala pale timu inapokuwa na hali ngumu, ingawaje amejitahidi kuijenga timu in absence of ronaldo na ata wachezaji wengine pia amewajenga kisaikolojia...hadi wanafikia kusema maneno kama haya....

"You won't feel absence of CR7" -Ceballos
"Raul is best in RMA history" -Carvajal
''Other players have more marketing but Modric deserves awards" -Ramos
"RMA is more like a team now" -Bale

Na majuma kadhaa yaliyopita kupitia gazeti la el mundo messi aliwahi kusema statement hii juu ya mwenendo wa real kwenye msimamo wa ligi...''Messi said..real are weak without ronaldo'' and real madrid fans on social networks said he was arrogant but it was the truth as it's revealed currently...na navyojua mimi kuna aina ya straikers wakiwa kwenye 18-yard box unakuta opponent defence haipandi hovyo akiweemo ronaldo mwenyewe, diego costa na lewandowski...hivyo naaza kuelewa messi aliona nini kwenye safu yetu ya ushambuliaji.
 
January tumsajili hazard au lewandosk,timu iko vzr tuwe na mtu mhangaikaji,binafsi hazard anafaa,tumuuze bale
 
Yani mkuu hiyo mechi itamfukuzisha mtu...wee subiri utajionea mwenyewe yani kwa namna ile juzi messi alivyoichezea backline ya spurs vertogen...sijui atatufanya vipi real na ni tarehe 28 mwezi huu...yasije tokea yale ya mourinho alivyopigwa 5-0, na kwa jinsi nilivyomuona huyu kocha lopetegui huwa hana kabisa mbinu mbadala pale timu inapokuwa na hali ngumu, ingawaje amejitahidi kuijenga timu in absence of ronaldo na ata wachezaji wengine pia amewajenga kisaikolojia...hadi wanafikia kusema maneno kama haya....

"You won't feel absence of CR7" -Ceballos
"Raul is best in RMA history" -Carvajal
''Other players have more marketing but Modric deserves awards" -Ramos
"RMA is more like a team now" -Bale

Na majuma kadhaa yaliyopita kupitia gazeti la el mundo messi aliwahi kusema statement hii juu ya mwenendo wa real kwenye msimamo wa ligi...''Messi said..real are weak without ronaldo'' and real madrid fans on social networks said he was arrogant but it was the truth as it's revealed currently...na navyojua mimi kuna aina ya straikers wakiwa kwenye 18-yard box unakuta opponent defence haipandi hovyo akiweemo ronaldo mwenyewe, diego costa na lewandowski...hivyo naaza kuelewa messi aliona nini kwenye safu yetu ya ushambuliaji.
Luis Suarez unamuweka wapi mkuu
 
Yani mkuu hiyo mechi itamfukuzisha mtu...wee subiri utajionea mwenyewe yani kwa namna ile juzi messi alivyoichezea backline ya spurs vertogen...sijui atatufanya vipi real na ni tarehe 28 mwezi huu...yasije tokea yale ya mourinho alivyopigwa 5-0, na kwa jinsi nilivyomuona huyu kocha lopetegui huwa hana kabisa mbinu mbadala pale timu inapokuwa na hali ngumu, ingawaje amejitahidi kuijenga timu in absence of ronaldo na ata wachezaji wengine pia amewajenga kisaikolojia...hadi wanafikia kusema maneno kama haya....

"You won't feel absence of CR7" -Ceballos
"Raul is best in RMA history" -Carvajal
''Other players have more marketing but Modric deserves awards" -Ramos
"RMA is more like a team now" -Bale

Na majuma kadhaa yaliyopita kupitia gazeti la el mundo messi aliwahi kusema statement hii juu ya mwenendo wa real kwenye msimamo wa ligi...''Messi said..real are weak without ronaldo'' and real madrid fans on social networks said he was arrogant but it was the truth as it's revealed currently...na navyojua mimi kuna aina ya straikers wakiwa kwenye 18-yard box unakuta opponent defence haipandi hovyo akiweemo ronaldo mwenyewe, diego costa na lewandowski...hivyo naaza kuelewa messi aliona nini kwenye safu yetu ya ushambuliaji.
uwepo wa Ronaldo uliwafanya baadhi ya wachezaji kuonekana Kama wamekua Vasquez na assensio, wakati huohuo Bale alitaka kutetea nafasi yake kila akiingia anafanya makubwa, wakimbana cR7 benzema anatokea kama mtu asiyejulikana sasa ivi ni ovyo hovyo
 
Hatuna coach, huyu jamaa mzushi tu hana plan team ikibanwa
 
Back
Top Bottom