Real Madrid (‎Los Blancos) | Special Thread

Real Madrid (‎Los Blancos) | Special Thread

IMG_20180412_082454_820.JPG

Hii ni penalti,tatizo ni muda na ukubwa wa match tu.
 
Nawakubali WASAFI lakini jana ilikuwa mbeleko la CHUMA,ila allegri kidume jana alikuwa anafanikiwa kugeuza matokeo kwa mara ya pili lkn refa akawanyonga mwishoni
 
Kwani kilichoathiri ni kadi au penalt? Kinacholeta gumzo juu ya mechi hiyo sio kadi bali ni kitendo cha mwamuzi kuwapa madrid penati katika mazingira yale. Hilo ndilo linalozungumzwa
Mazingira gani?mazingira ya penat yalikuwa sahihi sababu ni ndani ya 18,na kaa ujue penat haiangalii muda ....tatizo mumezoea mechi zenu za uswahilini refa hatoi penat dkk za mwisho ile ni pro football sio sodo/chandimu za kwenu mwananyamala ukiweka tuta dkk km hizo mechi inavunjika kwa vurugu
 
Mnaolalamikia penalti, walaumuni Juve kuruhusu washambuliaji wa Real kuvuka mstari wa 18. Beki ya juve ingekuwa imara, ingehakikisha mpira haufiki kwa eneo lao la 18, hivyo hata Vazquez angedondoshwa, ingekuwa ingekuwa nje ya 18. Penalti imesababishwa na Juve wenyewe, fullstop.
 
Mkuu nina mashaka na knowledge yako ya soka, sheria ni sheria haingalii muda, game au nani katenda.

Itakua ata goli la Sane jana lililokataliwa unaamini ni goli.

Hii pk ya leo ni pk halali kabisa, hata ingekua katikati ya uwanja bado ingeitwa faulo. Tatizo leo imetokea kwenye game kubwa, ndani ya box na muda mbaya ila Ile Ni faulo na unajua faulo ndani ya box maana yake Nini

Kama jana goli la Sane lilikataliwa sababu alimuingilia Milner nyuma, leo Vasquez kasukumwa kabisa toka nyuma, ni vp isiwe foul


Otherwise unataka baadhi ya sheria zisiwe zinatumika kwenye baadhi ya matches.
Absolutely!!
 
Hivi Ronaldo alionyeshwa kadi ya njano au lah baada ya kuvua jezi?


Maana sikufanikiwa kuona tukio zima
 
Mkuu nina mashaka na knowledge yako ya soka, sheria ni sheria haingalii muda, game au nani katenda.

Itakua ata goli la Sane jana lililokataliwa unaamini ni goli.

Hii pk ya leo ni pk halali kabisa, hata ingekua katikati ya uwanja bado ingeitwa faulo. Tatizo leo imetokea kwenye game kubwa, ndani ya box na muda mbaya ila Ile Ni faulo na unajua faulo ndani ya box maana yake Nini

Kama jana goli la Sane lilikataliwa sababu alimuingilia Milner nyuma, leo Vasquez kasukumwa kabisa toka nyuma, ni vp isiwe foul


Otherwise unataka baadhi ya sheria zisiwe zinatumika kwenye baadhi ya matches.
Dah mkuu huu uchambuzi balaa yaani sane alimuingilia milner nyuma!!!!!!!!hii sidhani kama inaruhusiwa kisheria
 
Back
Top Bottom