Soma post [HASHTAG]#36480[/HASHTAG] ya nobodylikedme na [HASHTAG]#36422[/HASHTAG] ya Deep Pond
Ngoja nimuongezee na pichaAcha chenga, Mi nakuuliza tena, kwa nini unafikiria ile sio penalty?
Mazingira gani?mazingira ya penat yalikuwa sahihi sababu ni ndani ya 18,na kaa ujue penat haiangalii muda ....tatizo mumezoea mechi zenu za uswahilini refa hatoi penat dkk za mwisho ile ni pro football sio sodo/chandimu za kwenu mwananyamala ukiweka tuta dkk km hizo mechi inavunjika kwa vuruguKwani kilichoathiri ni kadi au penalt? Kinacholeta gumzo juu ya mechi hiyo sio kadi bali ni kitendo cha mwamuzi kuwapa madrid penati katika mazingira yale. Hilo ndilo linalozungumzwa
Ktk mpira hakuna suala la muda wala ukubwa wa mechi ishu ni sheria tuView attachment 742005
Hii ni penalti,tatizo ni muda na ukubwa wa match tu.
Absolutely!!Mkuu nina mashaka na knowledge yako ya soka, sheria ni sheria haingalii muda, game au nani katenda.
Itakua ata goli la Sane jana lililokataliwa unaamini ni goli.
Hii pk ya leo ni pk halali kabisa, hata ingekua katikati ya uwanja bado ingeitwa faulo. Tatizo leo imetokea kwenye game kubwa, ndani ya box na muda mbaya ila Ile Ni faulo na unajua faulo ndani ya box maana yake Nini
Kama jana goli la Sane lilikataliwa sababu alimuingilia Milner nyuma, leo Vasquez kasukumwa kabisa toka nyuma, ni vp isiwe foul
Otherwise unataka baadhi ya sheria zisiwe zinatumika kwenye baadhi ya matches.
Ebwanaeee...Leo niliugua kuanzia game inaanza.mpaka tulipopata penalty., tungefungwa ninadhan ningekuwa nipo hosp saa hiv ninaugulia maumivu, sio kwa presha niliyoipata Leo
Kabisaaaa, sema huyu Ramos kazidi uhuni pale nyuma.Huyu kaka tunamhitaji kwa kweli.
View attachment 741843
.. bwana alifanya njia pasipo na njia. Hallelujah!!

dah.....huyu jamaa wa muhimu sana aiseee.....timu pale nyuma hapako sawa kabisa,yaan panakatika mbaya sana...Huyu kaka tunamhitaji kwa kweli.
View attachment 741843
Dah mkuu huu uchambuzi balaa yaani sane alimuingilia milner nyuma!!!!!!!!hii sidhani kama inaruhusiwa kisheriaMkuu nina mashaka na knowledge yako ya soka, sheria ni sheria haingalii muda, game au nani katenda.
Itakua ata goli la Sane jana lililokataliwa unaamini ni goli.
Hii pk ya leo ni pk halali kabisa, hata ingekua katikati ya uwanja bado ingeitwa faulo. Tatizo leo imetokea kwenye game kubwa, ndani ya box na muda mbaya ila Ile Ni faulo na unajua faulo ndani ya box maana yake Nini
Kama jana goli la Sane lilikataliwa sababu alimuingilia Milner nyuma, leo Vasquez kasukumwa kabisa toka nyuma, ni vp isiwe foul
Otherwise unataka baadhi ya sheria zisiwe zinatumika kwenye baadhi ya matches.
kama kawaida yao. Real madrid na marefa damdam