Real Madrid (‎Los Blancos) | Special Thread

Real Madrid (‎Los Blancos) | Special Thread

Hata huo ubingwa mkiuchukua tayari umeshaingia doa!

Mimi na uhakika msingekosa goli extra time sababu juve walikuwa tayari wameshachoka mngewatoa tu.

Lakini sasa hivi dunia inajua refa ndio kawatoa juve pyeeeee!!! Kaniudhi sana.
Yah,
Hii game nlkua nkiamin kabisa juve Tutawatoa

Walichoka sana, mistakes katka defence yao zlkua nyng sana.

Na nlijua Red card ilkua inafatia, kitu ambacho kingewatoa kabisa mchezoni

Na ukiongezea na uchovu mkali walokua nao, Tungewafunga goli lolote.

SASA, WALICHOKIAMUA MAREFA HATA HAKIJANIPENDEZA.

Mara nyingi tumekua tukilalama wenzetu wacatalunya kubebwa na waamuzi kwny UEFA wakiwa home ground.

KIUKWELI,
HILI LA LEO LILILOTOKEA PALE BERNABEU,

TUKUBALI TU,
Ukweli unauma, ila kwa hili unabd tu usemwe.

Bila unafiki wala, kutanguliza mahaba mbele.

##NA SISI LEO TUMEPITA KWA MBELEKO##
 
Wakuu,

Kiukweli mm ni madrid fan, Damu Damu

Ila kiuhalisia, Bila kutanguliza mahaba mbele.

HII GAME YA LEO, MADRID TUMEFUZU KWA MBELEKO YA MAREFA.

SIJAFURAHISHWA KABISA NA KILICHOAMULIWA NA MAREFA, IJAPOKUA KIMELETA POSITIVE IMPACT KWETU.

KIKUBWA NASHKURU MUNGU,

TUME QUALIFY FOR SEMI-FINAL

Honestly;
**PENALT KICK HAIKUAPATIKANA HALALI***


Tangu lini umekuwa Real Madrid fan ? Au ID hii ya Real Madrid na ile nyingine ya Barcelona
 
Iwapo refa angeacha upendeleo kadi nyekundu ingeenda kwa beki aliemuwekea mguu Lucas na Buffon kwa kutusi.
Ila kwa kua refa katumia ubinadamu katoa kadi moja tu.
Kwani kilichoathiri ni kadi au penalt? Kinacholeta gumzo juu ya mechi hiyo sio kadi bali ni kitendo cha mwamuzi kuwapa madrid penati katika mazingira yale. Hilo ndilo linalozungumzwa
 
Tangu lini umekuwa Real Madrid fan ? Au ID hii ya Real Madrid na ile nyingine ya Barcelona
Mkuu,

Sijawahi kua Barcelona hata siku moja.

Nmeipenda madrid tokea nmeanza kuujua mpira.

Naipenda sana madrid, pia nafurahia sana tunaponyakua vikombe.

Na always,
Nnapenda fighting spirit ya timu yangu.

Na Mara nyng, tumekua tukipata matokeo kihalali Bila mbeleko ya MAREFA.

KITU AMBACHO HUWA KINANIKOSHA SANA.

NA HUWA NA JIVUNIA SANA KWA NAMNA HIYO.

TOFAUTI NA MAJIRANI ZETU, BARCELONA.

Ila kwa HILI LA Leo,
Siwez kua mnafiki, penalt kick haikupatikana kihalali.
 
Yah,
Hii game nlkua nkiamin kabisa juve Tutawatoa

Walichoka sana, mistakes katka defence yao zlkua nyng sana.

Na nlijua Red card ilkua inafatia, kitu ambacho kingewatoa kabisa mchezoni

Na ukiongezea na uchovu mkali walokua nao, Tungewafunga goli lolote.

SASA, WALICHOKIAMUA MAREFA HATA HAKIJANIPENDEZA.

Mara nyingi tumekua tukilalama wenzetu wacatalunya kubebwa na waamuzi kwny UEFA wakiwa home ground.

KIUKWELI,
HILI LA LEO LILILOTOKEA PALE BERNABEU,

TUKUBALI TU,
Ukweli unauma, ila kwa hili unabd tu usemwe.

Bila unafiki wala, kutanguliza mahaba mbele.

##NA SISI LEO TUMEPITA KWA MBELEKO##
Msikilize Tim na Kuffor kuhusu hiyo ni penati ama sio penati, ile ni penati halali kabisa, wengi wanaona kama refa hakustahili kutoa penati kwa sababu ya muda na pressure ya mechi, lakini ukweli unabaki pale pale kwamba ni penati
 
Dogo aliyechukua zamu ya El captain simlaumu, ila Bale hakuna kitu so far.. na goli la pili ni jepesi sana kufungwa kwa kipa kama Navas.. hili goli ni uzembe wake
Navas kaisha mkuu tunavuta de gea come end of the season
 
Mume akifa kwa ukimwi mke hana maisha marefu
IMG_20180410_234523.jpg
 
Pia,
Twaweza shuhudia hata mpaka Vazquez mwnyw baada ya kuanguka.

hakulalama wala kuiomba ile penalt

Pia hata Rinaldo aliekua pembeni ya Vazquez, hakustuka wala kulalama kupewa penalt.

Kwa maana, twamjua kabisa ni jins gani ronaldo alivyo attention kwny matukio muhimu kama Yale.

Na wala hata Juve nao,
Hawakua na hofu kabisa kama ilistahili kua penalt.

UKIWA KAMA MWANA MICHEZO& MWANA MADRID FAN

Huwezi sherehekea sana ushindi wa Leo,

Ni kumshukuru MUNGU TU kwa kilichotokea, maana lengo limetimia LA kufuzu.

SOMETIMES SIO VEMA KUTANGULIZA MAHABA KWENYE UHALISIA.

WEE MWENYEWE TU, UTAJIKUTA NAFSI INAKUSUTA.
 
Back
Top Bottom