Real Madrid (‎Los Blancos) | Special Thread

Real Madrid (‎Los Blancos) | Special Thread

Anyway,
Hebu nijipe muda kidogo nikaiangalie kwa umakini mkuu.

Ila kwa mtizamo wa haraka haraka,

Sikuona Kama kuna contact yoyote ilotokea nyuma ya Vazquez.

Nlichokiona ni kwamba, Vazquez alipoteza balance alipo upokea mpira kifuani

Na pale ndipo beki wa juve, alipouwahi akafanya clearence kifuani kwake kabla ya Vazquez hajafanya maamuzi

Kitu ambacho nakiona ni jambo LA kawaida sana kwny mpira kwa mabeki wengi kufanya clearence za namna ile.

ANYWAY,
Mkuu, NTAITIZAMA TENA KWA UMAKINI ZAIDI MKUU ILI NIJIRIDHISHE.
Kajiridhishe ule mpira beki wa Juve hajaugusa ila kampiga kifuani Lucas
 
Anyway,
Hebu nijipe muda kidogo nikaiangalie kwa umakini mkuu.

Ila kwa mtizamo wa haraka haraka,

Sikuona Kama kuna contact yoyote ilotokea nyuma ya Vazquez.

Nlichokiona ni kwamba, Vazquez alipoteza balance alipo upokea mpira kifuani

Na pale ndipo beki wa juve, alipouwahi akafanya clearence kifuani kwake kabla ya Vazquez hajafanya maamuzi

Kitu ambacho nakiona ni jambo LA kawaida sana kwny mpira kwa mabeki wengi kufanya clearence za namna ile.

ANYWAY,
Mkuu, NTAITIZAMA TENA KWA UMAKINI ZAIDI MKUU ILI NIJIRIDHISHE.
Kajaribu kupitia Tena, Vasquez alisukumwa, wengi wanalalamika kwamba alisukumwa kidogo (hakuna anayepinga kwamba hakusukumwa), tatizo linakuna hapa, kusukuma mtu ni kosa, kusukuma/kukaba toka nyuma ni kosa na hatari kwa maana kwamba unahatarisha usalama wa player unayemkaba na ikumbukwe opponent analindwa zaidi ndani ya box. Ukiongeza yote hayo kwa vyovyote vile lazima iwe pk, watu wanaendeshwa na hisia wanasahau kwamba hata ingekua katikati ya uwanja ile bado Ni faulo.

Na hiki ndo kilichotokea jana ndo maana goli la Sane lilikataliwa.

Hakuna pundit hata mmoja mkubwa duniani unayemfahamu anayekataa ile sio pk
 
Exactly, tatizo kasukuma mchezaji tena toka nyuma.
Nilipo ona imetolewa penalty nikajua watu hawatatu appriciate kwa sababu ya time
Nilipo ona Buffon kapewa red nika sema hapa ndio hatuta mshawishi mtu yyte asiye shabki wa madrid.
Ila ilikuwa ni penalty kabsa.
 
Kajaribu kupitia Tena, Vasquez alisukumwa, wengi wanalalamika kwamba alisukumwa kidogo (hakuna anayepinga kwamba hakusukumwa), tatizo linakuna hapa, kusukuma mtu ni kosa, kusukua/kukaba toka nyuma ni kosa na hatari kwa maana kwamba unahatarisha usalama wa player unayemkaba na ikumbukwe opponent analindwa zaidi ya box. Ukiongeza yote hayo kwa vyovyote vile lazima iwe pk, watu wanaendeshwa na hisia wanasahau kwamba hata ingekua katikati ya uwanja ile bado Ni faulo.

Na hiki ndo kilichotokea jana ndo maana goli la Sane lilikataliwa.

Hakuna pundit hata mmoja mkubwa duniani unayemfahamu anayekataa ile sio pk
Nmekuelewa mkuu
 
Nilipo ona imetolewa penalty nikajua watu hawatatu appriciate kwa sababu ya time
Nilipo ona Buffon kapewa red nika sema hapa ndio hatuta mshawishi mtu yyte asiye shabki wa madrid.
Ila ilikuwa ni penalty kabsa.
Kabisa, I feel for Juve, Gigi especially but hakuna namna ilikua lazima watoke. Wamesumbua mahakama ila wamehukumiwa mwisho wa siku

Nadhani it's about time atundike daruga.
 
Pia,
Twaweza shuhudia hata mpaka Vazquez mwnyw baada ya kuanguka.

hakulalama wala kuiomba ile penalt

Pia hata Rinaldo aliekua pembeni ya Vazquez, hakustuka wala kulalama kupewa penalt.

Kwa maana, twamjua kabisa ni jins gani ronaldo alivyo attention kwny matukio muhimu kama Yale.

Na wala hata Juve nao,
Hawakua na hofu kabisa kama ilistahili kua penalt.

UKIWA KAMA MWANA MICHEZO& MWANA MADRID FAN

Huwezi sherehekea sana ushindi wa Leo,

Ni kumshukuru MUNGU TU kwa kilichotokea, maana lengo limetimia LA kufuzu.

SOMETIMES SIO VEMA KUTANGULIZA MAHABA KWENYE UHALISIA.

WEE MWENYEWE TU, UTAJIKUTA NAFSI INAKUSUTA.
Bado sijaona strong reasons za kusema ile siyo penalt. Usiangalie attention ya wachezaji. Angalia kilichopelekea penalt.

Kwangu mimi ile ni penalt kwa sababu beki kamfuata mchezaji kwa nyuma na kama asingeanguka ingeweza kupelekea madhara kwa Juve na ndio sababu refa alitoa penalt
Nimekuwekea na video ujionee kwa ukaribu jinsi tukio lilivyokuwa. Chek na reaction ya Ronaldo. Ile ni penalt halali
 

Attachments

Nilipo ona imetolewa penalty nikajua watu hawatatu appriciate kwa sababu ya time
Nilipo ona Buffon kapewa red nika sema hapa ndio hatuta mshawishi mtu yyte asiye shabki wa madrid.
Ila ilikuwa ni penalty kabsa.
Hii game ya Leo nmeangalia nikiwa bar.

Na nlkaa distance kias na TV

Ukichanganya na movement na kusimama simama sana kwa walokua front seats wakati wa mzozo wa penalt

Maybe,
Yawezekana sikupata chance ya kuiangalia kwa utulv ile event.
 
Hakuna mchambuzi yeyote wa soka duniani akaichambua foul ya Leo tuliyopata penalty nikamuelewa..kikubwa tumebebwa hakuna ubishi na kwenye soka mambo kama haya yapo. This was a big game and referee should be very keen in decision.. Michael Oliver kafeli kwenye kuweka ile penalty, nauhakika tungepita kwa goli zuri tu kama tungeenda 120.
Mkuu kwa nini unasema siyo penalt halali.?
 
Hii penalt hata ingekuwa clear kiasi gani lazima kuna watu wangeona kuna walakini kwa sababu ya muda ambao imetolewa, wanasahau sheria za mpira haziangaliaa ni muda gani kosa limetendeka..hii penalt ingetolewa mapema kama DKK ya 40 hivi, wengi wasingelalamika
 
Hii game ya Leo nmeangalia nikiwa bar.

Na nlkaa distance kias na TV

Ukichanganya na movement na kusimama simama sana kwa walokua front seats wakati wa mzozo wa penalt

Maybe,
Yawezekana sikupata chance ya kuiangalia kwa utulv ile event.
Mi nna clip hapa ninge kutumia ila inagoma
 
Salamander I hope all is well with you, umepotea Sana, siku kama ya leo nilitegema uwe umetamalaki humu.
 
Hongereni Madridistas wote humu ndani, hatuna budi kujipongeza baada ya kazi nzito., sie tujipongeze tu huku tukiwaza next step itakuwa Vp, kuna watu walituombea sana njaa baada ya team zao kutolewa hao ndio wanaongelea mambo ya penalty, sie muhimu ilikua ni kuanga mbele kwa vyovyote vile., bahati nzuri tumefanikiwa...., [HASHTAG]#HalaMadrid[/HASHTAG].,
 
Leo niliugua kuanzia game inaanza.mpaka tulipopata penalty., tungefungwa ninadhan ningekuwa nipo hosp saa hiv ninaugulia maumivu, sio kwa presha niliyoipata Leo
 
Nilipo ona imetolewa penalty nikajua watu hawatatu appriciate kwa sababu ya time
Nilipo ona Buffon kapewa red nika sema hapa ndio hatuta mshawishi mtu yyte asiye shabki wa madrid.
Ila ilikuwa ni penalty kabsa.
ile penati haikuwa na mawaa. ila as a hater nafurahi wengi watasema ilikuwa ya magumashi, hiyo ina demean ushindi wenu
 
Yah,
Hii game nlkua nkiamin kabisa juve Tutawatoa

Walichoka sana, mistakes katka defence yao zlkua nyng sana.

Na nlijua Red card ilkua inafatia, kitu ambacho kingewatoa kabisa mchezoni

Na ukiongezea na uchovu mkali walokua nao, Tungewafunga goli lolote.

SASA, WALICHOKIAMUA MAREFA HATA HAKIJANIPENDEZA.

Mara nyingi tumekua tukilalama wenzetu wacatalunya kubebwa na waamuzi kwny UEFA wakiwa home ground.

KIUKWELI,
HILI LA LEO LILILOTOKEA PALE BERNABEU,

TUKUBALI TU,
Ukweli unauma, ila kwa hili unabd tu usemwe.

Bila unafiki wala, kutanguliza mahaba mbele.

##NA SISI LEO TUMEPITA KWA MBELEKO##
Watu wameshaanza Ku hoji uthabiti wa timu za laliga kwenye uefa kama sifa wanazopewa barca na Madrid wanastahili au ni overhype tu.

Hizi timu mbili zinaweza kuwa zina uwezo mkubwa lakini mistakes zinazofanya na marefa ambazo mara nyingi zinakuwa ni faida kwao zinafanya watu tuone timu za kawaida tu ambazo kwenye hali ngumu huwa zinabebwa na marefa,

Ile hata kama ingekuwa ni penati halali pale refa angejaribu kutumia kile kipengele cha ref's privileged decision, mara nyingi maamuzi kama haya wanayatoa kulingana na pressure ya mchezo pamoja na muda wa tukio wa lenyewe.

Kabla ya kutoa wanapima uzito wa matokeo yake!! Na uhakika endapo kama refa asingetoa penati na mpira ukaenda extra time, kusingekuwepo na mjadala mzito kama ilivyo sasa hivi. Refa kapuyanga
 
Back
Top Bottom