HARUFU
Platinum Member
- Jan 21, 2014
- 31,704
- 48,140
Mwalimu kashasha: "Mke akifa kwa ukimwi sio lazima mume afuatie"Mume akifa kwa ukimwi mke hana maisha marefu![]()
Ntajaribu kuiangalia tena umakini mkuu.Kaiangalie vizuri ni penalty halali kabisa
Mkuu nina mashaka na knowledge yako ya soka, sheria ni sheria haingalii muda, game au nani katenda.Wakuu,
Kiukweli mm ni madrid fan, Damu Damu
Ila kiuhalisia, Bila kutanguliza mahaba mbele.
HII GAME YA LEO, MADRID TUMEFUZU KWA MBELEKO YA MAREFA.
SIJAFURAHISHWA KABISA NA KILICHOAMULIWA NA MAREFA, IJAPOKUA KIMELETA POSITIVE IMPACT KWETU.
KIKUBWA NASHKURU MUNGU,
TUME QUALIFY FOR SEMI-FINAL
Honestly;
**PENALT KICK HAIKUAPATIKANA HALALI***
Mimi dah acha tu!mi nisingeenda maana nimemnunulia MTU sodaa kesho ningepewa kreti
Braza why stressing yourself!?Pia,
Twaweza shuhudia hata mpaka Vazquez mwnyw baada ya kuanguka.
hakulalama wala kuiomba ile penalt
Pia hata Rinaldo aliekua pembeni ya Vazquez, hakustuka wala kulalama kupewa penalt.
Kwa maana, twamjua kabisa ni jins gani ronaldo alivyo attention kwny matukio muhimu kama Yale.
Na wala hata Juve nao,
Hawakua na hofu kabisa kama ilistahili kua penalt.
UKIWA KAMA MWANA MICHEZO& MWANA MADRID FAN
Huwezi sherehekea sana ushindi wa Leo,
Ni kumshukuru MUNGU TU kwa kilichotokea, maana lengo limetimia LA kufuzu.
SOMETIMES SIO VEMA KUTANGULIZA MAHABA KWENYE UHALISIA.
WEE MWENYEWE TU, UTAJIKUTA NAFSI INAKUSUTA.
na pesa zao...Usilamu kwa kitu kama hicho mkuu, kwenye mchezo kuna makosa vilivile.Navas kaisha mkuu tunavuta de gea come end of the season
😀😀😀😀😀Mzee Jecha jana kapiga mkwanja wa nguvu huko Roma. Sasa Nasikia Juventusi wanamtafuta Mzee Jecha kakimbia![]()
na pesa zao...
Anyway,Mkuu nina mashaka na knowledge yako ya soka, sheria ni sheria haingalii muda, game au nani katenda.
Itakua ata goli la Sane jana lililokataliwa unaamini ni goli.
Hii pk ya leo ni pk halali kabisa, hata ingekua katikati ya uwanja bado ingeitwa faulo. Tatizo leo imetokea kwenye game kubwa, ndani ya box na muda mbaya ila Ile Ni faulo na unajua faulo ndani ya box maana yake Nini
Kama jana goli la Sane lilikataliwa sababu alimuingilia Milner nyuma, leo Vasquez kasukumwa kabisa toka nyuma, ni vp isiwe foul
Otherwise unataka baadhi ya sheria zisiwe zinatumika kwenye baadhi ya matches.
Na laiti yule beki kama ule mpira angeugusa basi isingekuwa penaltyMkuu nina mashaka na knowledge yako ya soka, sheria ni sheria haingalii muda, game au nani katenda.
Itakua ata goli la Sane jana lililokataliwa unaamini ni goli.
Hii pk ya leo ni pk halali kabisa, hata ingekua katikati ya uwanja bado ingeitwa faulo. Tatizo leo imetokea kwenye game kubwa, ndani ya box na muda mbaya ila Ile Ni faulo na unajua faulo ndani ya box maana yake Nini
Kama jana goli la Sane lilikataliwa sababu alimuingilia Milner nyuma, leo Vasquez kasukumwa kabisa toka nyuma, ni vp isiwe foul
Otherwise unataka baadhi ya sheria zisiwe zinatumika kwenye baadhi ya matches.
Beki wa juve haku ugusa mpira na ndio maana ilikiwa penalty.Anyway,
Hebu nijipe muda kidogo nikaiangalie kwa umakini mkuu.
Ila kwa mtizamo wa haraka haraka,
Sikuona Kama kuna contact yoyote ilotokea nyuma ya Vazquez.
Nlichokiona ni kwamba, Vazquez alipoteza balance alipo upokea mpira kifuani
Na pale ndipo beki wa juve, alipouwahi akafanya clearence kifuani kwake kabla ya Vazquez hajafanya maamuzi
Kitu ambacho nakiona ni jambo LA kawaida sana kwny mpira kwa mabeki wengi kufanya clearence za namna ile.
ANYWAY,
Mkuu, NTAITIZAMA TENA KWA UMAKINI ZAIDI MKUU ILI NIJIRIDHISHE.
Exactly, tatizo kasukuma mchezaji tena toka nyuma.Na laiti yule beki kama ule mpira angeugusa basi isingekuwa penalty
Yaaap, hata ule mpira angeutuliza kwenye Chest vizuri tuu.Exactly, tatizo kasukuma mchezaji tena toka nyuma.
Asbuh nkitulia,Exactly, tatizo kasukuma mchezaji tena toka nyuma.