Siafu na Manga
JF-Expert Member
- Aug 5, 2013
- 2,892
- 8,971
asantane kwa kushiriki kwenye jukwaa letu 😀😀😀😀😀😀😀😀Hahaha usinifanye ni cheki...
KESHO redcard mbili goli tano.
Barcelona + Madrid= Refa.
asantane kwa kushiriki kwenye jukwaa letu 😀😀😀😀😀😀😀😀Hahaha usinifanye ni cheki...
KESHO redcard mbili goli tano.
Barcelona + Madrid= Refa.
Bayern Munich 2nd goal was offside .. too [beIN Sport]
![]()
Ninaona unalia lia na refa, ila unasahau kuwa Vidal alitakiwa kupewa card mwanzoni kabisa ya kipnd cha pili baada ya kumfanyia Casemiro faulo karibia na edge ya box Lao? kwanin husemi kuwa na hapo refa alikosea? Kama alimpa Vidal second chance kwanin isiwe kwa Casemiro? Ulikuwa huangalii mpira peke yako.Hawa marefa wanaotoka ligi ndogo ndogo sijui uefa huwa wana waamini vipi hadi kuwakabidhi mtanange mzito kama huu... Huyu refa kabugi tangu mwanzo huyo Casemiro kwanza alistahili kula umeme kabla hata ya Vidal. Bado kawazawadia goli la offside.
Ahahaha.... Timu za uefa hizi zitatokaje mapema kizembe kizembe hivi, kuzitoa itabidi ufanye kazi ya ziada haswa.Hahaha usinifanye ni cheki...
KESHO redcard mbili goli tano.
Barcelona + Madrid= Refa.
Afadhali wewe umeona ukweli.
Eheheh.... Unachekesha kweli. Bila shaka huyo commentator/mwandishi wa Beinsport ni madrista mwenzako ndio maana katoa hilo boko eti offside. Hakuna hata reply yoyote iliyoonyeshwa baada ya goli kusharia hiyo ilikuwa ni offside. Alafu kingine mpira umewagonga mabeki watatu kabla ya kujaa wavuni hiyo offside inakuja vipi hapo!!?Bayern Munich 2nd goal was offside .. too [beIN Sport]
![]()
Eti wanadai UEFA Ndio inapata msisimuko.Ahahaha.... Timu za uefa hizi zitatokaje mapema kizembe kizembe hivi, kuzitoa itabidi ufanye kazi ya ziada haswa.
Eheheh.... Unachekesha kweli. Bila shaka huyo commentator/mwandishi wa Beinsport ni madrista mwenzako ndio maana katoa hilo boko eti offside. Hakuna hata reply yoyote iliyoonyeshwa baada ya goli kusharia hiyo ilikuwa ni offside. Alafu kingine mpira umewagonga mabeki watatu kabla ya kujaa wavuni hiyo offside inakuja vipi hapo!!?
Labda ungeongelea penalty ndio angalau ungeeleweka maanake wote tunamjua robben kwa kujirusha.
naona Haters wa Madrid mmekutana basi ndo mnatujazia thread yetu 😡😡😡😡😡Eti wanadai UEFA Ndio inapata msisimuko.
Unazi umewajaa wanashindwa kufungua macho.
Huwa wanajitahidi sana wakutanishe El classico fainali kila mwaka, ukitaka kuona hili hebu subiri Leo barca nae akibahatika kupita uone kama watapangwa nusu fainali... Yaani unaziii tu na drop zao za kinafiki.Eti wanadai UEFA Ndio inapata msisimuko.
Unazi umewajaa wanashindwa kufungua macho.
Dogo yupo vizur sana kwa kweli!! kidogo kidogo utakuja kumkuta kwenye XI. Kijana wa €3.5m tu.ooh My God
the kid is great
Heshima kwako Mkuu,Huwa wanajitahidi sana wakutanishe El classico fainali kila mwaka, ukitaka kuona hili hebu subiri Leo barca nae akibahatika kupita uone kama watapangwa nusu fainali... Yaani unaziii tu na drop zao za kinafiki.
Mnalialia tu humu, penalty ya Bayern haieleweki, own goal la Ramos karibia wachazaji 3 wa Bayern walikuwa offside na yule Vidal alitakiwa aende nje before sana sema refa kamvumilia tu
Ahahaa...kwa hiyo una maanisha sasa hivi wako nao camp nou wanafanya mazoezi na kupeana code watakazokuwa wanatumia uwanjani.Heshima kwako Mkuu,
Unamacho matatu haswa,Sasa kwa sababu wanamacho na hawaoni yaani ni kazi kwelikweli.
Huu ushabiki wa kinazi ukiona nyeupe unasema ni nyekundu niliutupa mkono Miaka saba nyuma.
R.Madrid wanaunafuu kubwa lake ni jirani yake Barcelona...aisee kama vile wanafanyanao mazoezi marefaree.
Hehehe!!!Ahahaa...kwa hiyo una maanisha sasa hivi wako nao camp nou wanafanya mazoezi na kupeana code watakazokuwa wanatumia uwanjani.