Real Madrid (‎Los Blancos) | Special Thread

Real Madrid (‎Los Blancos) | Special Thread

Huu mwaka mzuri sijapata kuona HALA MADRID
76ca4252a04d377bdffbb2aed5813a61.jpg
 
Hehehe!!!
Hilo halina mjadala Mkuu,

Kesho nawahi mapema nishuhudie hiyo miujiza kama wanavyoiita wana Barc.


Hivi casemero kamaliza gemu Mkuu. ..?

Casemiro alimaliza game kwa msaada wa refa na muwezeshi mkuu akiwa ni Perezi.
 
Hapa kuhusu Marcelo sijakupata mkuu
Mkuu Marcelo ni tishio asikwambie mtu, Huyu Marcelo akishika mpira timu pinzani sio mashabiki wala wachezaji wanaanza kujamba,..... wachezaji wa Madrid watacheza ovyo wote lakini sio Marcelo sikumbuki ni lini Mara ya mwisho alipotea kwenye big game. Ila C.ronaldo siku hizi hasipofunga goli unaweza usijue kama yumo uwanjani.

Marcelo varangati lake sio la dunia hii nikionaga dribbling zake namkumbuka Bixente Lizarazu.
 
Ukiachana na makosa ya refa ambayo ni mengi ila Bayern walizidiwa kimchezo

Defense ya madrid waliwadhibiti washambuliaji wa Bayern
Hata kabla ya zile kadi nyekundu mara 2 walikuwa na shots on targert 3 tu wakati madrid 10 shots on target

1st leg 3 shots on target kwa 12 za Madrid
6ea33285266af688b4595d8b494bca95.jpg


2nd leg 2 shots on target kwa 12 za Madrid
21926cfe8748aed431119aaa2fc79886.jpg
 
Displine ya wachezaji wa madrid ndio imewasaidia, kadi moja tu ya njano Casemiro ila bayer 5 yellow cards

Kadi moja ya njano kwa rafu zaidi ya nne tena nyingine alitaka kumvunja mguu Robben. Alafu na pia kama uliangalia vizuri ile ya Vidal hai kuwa rafu alicheza mpira sema rafa alidanganyika.
 
Kadi moja ya njano kwa rafu zaidi ya nne tena nyingine alitaka kumvunja mguu Robben. Alafu na pia kama uliangalia vizuri ile ya Vidal hai kuwa rafu alicheza mpira sema rafa alidanganyika.
Replay kwa Vidal alicheza rafu nyingi sana refa akachoka kumlinda. Kuhusu Casemiro hakucheza rafu kwa kiasi udhaniacho.
 
Back
Top Bottom