SaaMbovu
JF-Expert Member
- Oct 8, 2013
- 6,028
- 5,355
Google huyo refa anaitwa Viktor Kassai... halafu uje na jibu ni shabiki wa timu gani. Fungua WikipediaNa tofauti ya Ronaldo ni goli la offside. Ingekuwa timu nyingine hapa ungesikia maneno ya kubebwa.