Real Madrid (‎Los Blancos) | Special Thread

Real Madrid (‎Los Blancos) | Special Thread

Kuna mijitu humu inalalama tu angalieni statistics. Pia Bayern wamepewa penalty lingine tumejifunga halafu bado mnaamini kuna la maana Wangefanya. Beki zetu zimeblock kila njia. Halafu Casemiro kadondoshwa 18 zone hilo hamlioni.
 
Niwakumbushe kuwa el-classico ya last year tulishinda kwa come back tukiwa 10 man hivyo hamna sababu za msingi kwa bayern kushindwa.
 
Ninaona unalia lia na refa, ila unasahau kuwa Vidal alitakiwa kupewa card mwanzoni kabisa ya kipnd cha pili baada ya kumfanyia Casemiro faulo karibia na edge ya box Lao? kwanin husemi kuwa na hapo refa alikosea? Kama alimpa Vidal second chance kwanin isiwe kwa Casemiro? Ulikuwa huangalii mpira peke yako.
Huyo jamaa ni bichwa nazi tu yaani analia lia kwa kutazama upande mmoja tu.
 
Huyo jamaa ni bichwa nazi tu yaani analia lia kwa kutazama upande mmoja tu.
Kama ambavyo wewe na mwenzako hapa mnavyotazama upande mmoja basi hata mimi pia ntatazama upande mmoja na kama unatazama objectively basi hata mimi pia nnatazama bila upendeleo... Katimu kenu kalizidiwa mlikuwa mnacheza utafikiri mko ugenini uwanja mzima ukawa kimyaaa hadi refa alivyoamua kuwasaidia ndio mkaanza kuruka ruka hadi mkapata magoli tena mengine ya offside ila kwakuwa wewe ni muhafidhina maandazi wa bernabeu hata hili nalo utakataa.
 
Niwakumbushe kuwa el-classico ya last year tulishinda kwa come back tukiwa 10 man hivyo hamna sababu za msingi kwa bayern kushindwa.

Hii ni irrelevant na mechi ya jana, wale Barcelona hata mkiwa 8 mkiweka basi tu hawapati goli na pia Barcelona ni tofauti na Bayern Munich... Sipati picha Jana nyie ndio mngekula umeme mkabaki nusu uwanjani kama mko 11tu lakini bado kuna muda wote mligeuka mabeki vipi kama hoyo casemiro refa angempa adhabu yake iliyomstahili(red card)??
 
Casemiro alimaliza game kwa msaada wa refa na muwezeshi mkuu akiwa ni Perezi.
Hili wenye mahaba na timu yao hawalioni.

Inasikitisha sana, fake redcard ya Vidal lakini kijana casemiro kabaki uwanjani kwa hisani ya Refa.
 
Kama ambavyo wewe na mwenzako hapa mnavyotazama upande mmoja basi hata mimi pia ntatazama upande mmoja na kama unatazama objectively basi hata mimi pia nnatazama bila upendeleo... Katimu kenu kalizidiwa mlikuwa mnacheza utafikiri mko ugenini uwanja mzima ukawa kimyaaa hadi refa alivyoamua kuwasaidia ndio mkaanza kuruka ruka hadi mkapata magoli tena mengine ya offside ila kwakuwa wewe ni muhafidhina maandazi wa bernabeu hata hili nalo utakataa.
Wahafidhina hawa utawaweza.

Hizi timu zao hazisongi mbele mpaka zishikwe kwanyuma na marefaree.

Baada ya kadi nyekundu watu wakapumua mashabiki na wachezaji Pia.

Home and away...kabla ya kadi walikuwa wameshikwa kunako.
 
Hii ni irrelevant na mechi ya jana, wale Barcelona hata mkiwa 8 mkiweka basi tu hawapati goli na pia Barcelona ni tofauti na Bayern Munich... Sipati picha Jana nyie ndio mngekula umeme mkabaki nusu uwanjani kama mko 11tu lakini bado kuna muda wote mligeuka mabeki vipi kama hoyo casemiro refa angempa adhabu yake iliyomstahili(red card)??
Hehe... usifikirie hivyo Mkuu,

Kama R.madrid wangekuwa pungufu wangeikwaa aibu kubwa mno.

Timu za Muhindi bwana!!!!
 
Si barca Wala Madrid wanabebwa na Uefa sana hii ni wao kutengeneza hela kwani hizi zikitoka mapema hakuna hela tena. Hizi zina washabiki wengi ndiomana zinabebwa .
 
Uefa wanaanza kuua Futball... Yakiwakuta ya Bongomuvi wasilaumu ...kwamba Oooh wapenzi wa Soka siku hizi wamepungua...Ushaur wa bure kwA UEFA 2yrs mbele wasirudie haya watavuna mabua
 
Uefa wanaanza kuua Futball... Yakiwakuta ya Bongomuvi wasilaumu ...kwamba Oooh wapenzi wa Soka siku hizi wamepungua...Ushaur wa bure kwA UEFA 2yrs mbele wasirudie haya watavuna mabua
Huo ushauri wape TFF, wazungu hawana ubwege kama wabongo. Mapenzi yao kwa soka sio ya kuigiza. Watu wataenda uwanjani kama kawaida na tiketi zitagombewa sana. Barca amelalamikiwa miaka mingi tu kua anabebwa, hadi wakaitwa Uefalona, kwani watu wameacha kwenda viwanjani?! Suala la magoli ya utata hayakuanza leo, na hayataisha. Watarekebisha watakapoona panafaa. Wazungu wenyewe walishalalamika jana na kutoa maoni yao jana. Lakini wajuaji wabongo wanaendelea kupovuka hadi leo, wanatamani na Uefa ingekuwa na Kamati ya masaa 72!!
 
When they say Bayern were superior to us, just show them this, "Cristiano had more goals (5) vs Bayern than Bayern had shots on target (4) against Real.
1f602.png
".
 
MARCELO ON HIS WAY TO BECOME THE GREATEST LB OF ALL TIME!

Marcelo's game by numbers vs. Bayern:

9 take-ons
8 chances created
7 crosses
4 interceptions
3 blocks
1 assist

UNBELIEVABLE!

C9ujVKNXkAAwYdA.jpg:large
 
MARCELO 9 DRIBBLES AND 8 CHANCES CREATED!THE GREATEST UCL PERFORMANCE FROM A LB [Sky Sports]
 
RECORD: Real Madrid are the first team to reach for the first time in the history 7 consecutive Champions semifinals! [HASHTAG]#VAMOS[/HASHTAG]
 
Toni Kroos only misplaced 3 of his passes yesterday night. The game was on for 125 minutes. UNREAL!

17951955_1438064622913084_5158945974559588275_n.jpg


 
Feeling sorry for bayern tho. Madrid is way way stronger & bigger for them. Dont forget they were awarded 2 penalties & helped with 1 OG to compete. Yet the game ended 6-3
 
Jerome Boateng: "That's football, that's life. We can't complain"
 
Back
Top Bottom