1. Acha tabia ya kujamba katikati ya watu alafu unakuwa wa kwanza kuzuga "nasikia kama harufu mbaya hivi..."
2. Acha tabia ya kujifanya we ni shabiki wa Barcelona ili mwisho wa game utoke kifua mbele huku deep inside unawaombea mabaya.
3. Acha tabia ya kukopa kwa sound za mwisho wa mwezi ntaclear.
4. Acha mtindo wa kugeuka kuangalia kila demu mwenye makubwa masaburi anapopita.
5. Acha tabia ya kugonga watoto wa chuo wakat umeshaoa.. hakuna aliyekutuma kuoa ukiwa janki.
6. Acha tabia ya kuita wenzako wazee..
7. Acha tabia ya kumponda mkuu wa kaya kila kukicha, give him a break..
8. Acha tabia ya kusema neno ms*enge mara kwa mara..
9. Acha tabia ya kulaumu TANESCO kila umeme ukatikapo..
10. Acha tabia ya kupitia thread za watu bila kucha post..
Wanajamii tuendelee hapo..
2. Acha tabia ya kujifanya we ni shabiki wa Barcelona ili mwisho wa game utoke kifua mbele huku deep inside unawaombea mabaya.
3. Acha tabia ya kukopa kwa sound za mwisho wa mwezi ntaclear.
4. Acha mtindo wa kugeuka kuangalia kila demu mwenye makubwa masaburi anapopita.
5. Acha tabia ya kugonga watoto wa chuo wakat umeshaoa.. hakuna aliyekutuma kuoa ukiwa janki.
6. Acha tabia ya kuita wenzako wazee..
7. Acha tabia ya kumponda mkuu wa kaya kila kukicha, give him a break..
8. Acha tabia ya kusema neno ms*enge mara kwa mara..
9. Acha tabia ya kulaumu TANESCO kila umeme ukatikapo..
10. Acha tabia ya kupitia thread za watu bila kucha post..
Wanajamii tuendelee hapo..