Re: Acha

Re: Acha

Atakuwa nae kacopy huko FB au sehemu sehemu zingine

Hapana... Hii kitu nimeidizain mwenyewe yaan mwanzo mwisho.. Mwenyewe nilivoiona kule FB nikasema duh..
 
1. Acha tabia ya kutingisa dushelele baada ya kukojoa, hii kwa wanaume
2. Acha tabia yakupachika vibinti vidogo mimba na kusepa
3. Acha kulaumu maisha magumu wakati wazazi walikupeleka shule ukajiona mjanja ukawa unatoroka
4. Hii ni kwa mabint acheni kudanganya umri mtu unamuuliza una miaka mingapi anasema 21 kumbe ni 27. Nitarudi baadae
 
1. Acha tabia ya kutingisa dushelele baada ya kukojoa, hii kwa wanaume
2. Acha tabia yakupachika vibinti vidogo mimba na kusepa
3. Acha kulaumu maisha magumu wakati wazazi walikupeleka shule ukajiona mjanja ukawa unatoroka
4. Hii ni kwa mabint acheni kudanganya umri mtu unamuuliza una miaka mingapi anasema 21 kumbe ni 27. Nitarudi baadae

Hio ya dushelele ni kiboko Mr. Nitonye..

Acha tabia ya kula kitimoto vichochoron wakat dini yako inakataza
 
Acha tabia ya kumchungulia mkeo wakati una uwezo wa kumvua ch**pi
 
Acha kulazimisha watu wachangie hata thread ambazo hazina kichwa wala miguu
 
Acha tabia za kuonga wanawake afu ukiwa nawashkaji unajisifia "mi siwezi kumuonga mwanamke"
 
Acha pombe funda moja tu la ziada litakuumbua..
 
1. Acha tabia ya kujamba katikati ya watu alafu unakuwa wa kwanza kuzuga "nasikia kama harufu mbaya hivi..."
2. Acha tabia ya kujifanya we ni shabiki wa Barcelona ili mwisho wa game utoke kifua mbele huku deep inside unawaombea mabaya.
3. Acha tabia ya kukopa kwa sound za mwisho wa mwezi ntaclear.
4. Acha mtindo wa kugeuka kuangalia kila demu mwenye makubwa masaburi anapopita.
5. Acha tabia ya kugonga watoto wa chuo wakat umeshaoa.. hakuna aliyekutuma kuoa ukiwa janki.
6. Acha tabia ya kuita wenzako wazee..
7. Acha tabia ya kumponda mkuu wa kaya kila kukicha, give him a break..
8. Acha tabia ya kusema neno ms*enge mara kwa mara..
9. Acha tabia ya kulaumu TANESCO kila umeme ukatikapo..
10. Acha tabia ya kupitia thread za watu bila kucha post..

Wanajamii tuendelee hapo..

acha tuishie hapo hapo
 
Acha kulazimisha watu wachangie hata thread ambazo hazina kichwa wala miguu

Acha kujipendekeza kwenye thread kama hujazifill hata kama umeshauriwa kuchangia..
 
Back
Top Bottom