Re: Acha

Hii namba mbili nimeipenda mkuu, ningekupa like bahati mbaya natumia kasimu kangu ka nokia tochi
 
Hapana... Hii kitu nimeidizain mwenyewe yaan mwanzo mwisho.. Mwenyewe nilivoiona kule FB nikasema duh..
Mimi jokes nyingi tu huwa nadizaini mwenyewe lakini mara nyingi tu nazikuta FB yaani hawaachi hata nukta.
 
1:acha tabia ya kupiga puli wakati una mke
2:acha tabia ya kumendea housegirl wako kisa kamzidi uzuri mkeo
3.:acha tabia ya kutokwenda kwenye ibada hadi sikuku
 
Mimi jokes nyingi tu huwa nadizaini mwenyewe lakini mara nyingi tu nazikuta FB yaani hawaachi hata nukta.

True dat.. Yaan kuna raia wanahamisha nzimanzima kama zilivyo.. Lack of ubunifu huo.. Ila Jaguar nakukubal sana we mwana ni noumer
 
Nenda mapambazuko kuna wa2 wana2mia majina yao ya ukweli na wapo hapa jamvin kutwa kupost uchafu(ujinga) af wanacfiana fb
 
True dat.. Yaan kuna raia wanahamisha nzimanzima kama zilivyo.. Lack of ubunifu huo.. Ila Jaguar nakukubal sana we mwana ni noumer

kwanin mnakuwa watu wa kuangalia kwa jcho baya?badala ya kuwa happy k2 ulchoandka m2 mwngne kakpenda na kaenda kushare we unalalamika,roho ''nzuri'' alaf uktaka wascopy go n get a copyright 4 yo lame jokes....sio wote wanakazi ya kukaa chin na kufikilia ntoe k2 gan ili nkapost Jf,kukosa kazi huko..#just sayng,notng personal
 
kwanin mnakuwa watu wa kuangalia kwa jcho baya?badala ya kuwa happy k2 ulchoandka m2 mwngne kakpenda na kaenda kushare we unalalamika,roho ''nzuri'' alaf uktaka wascopy go n get a copyright 4 yo lame jokes....sio wote wanakazi ya kukaa chin na kufikilia ntoe k2 gan ili nkapost Jf,kukosa kazi huko..#just sayng,notng personal

We ndio Mr. AFM kule facebook, punguzaa jazba na kuponda kazi ya mikono yetu.. Eti "lame".... Shatapu wewe... Nani kasema ni dhambi kucopy
 
kwanin mnakuwa watu wa kuangalia kwa jcho baya?badala ya kuwa happy k2 ulchoandka m2 mwngne kakpenda na kaenda kushare we unalalamika,roho ''nzuri'' alaf uktaka wascopy go n get a copyright 4 yo lame jokes....sio wote wanakazi ya kukaa chin na kufikilia ntoe k2 gan ili nkapost Jf,kukosa kazi huko..#just sayng,notng personal

Acha tabia ya kulalamika lalamika kama mwanamke
 
Back
Top Bottom