zamu yako ya kufua vyupi vya mama ikulu ni lini, nasikia mmepeana zamu za kuunga mkonoSiku zote vijaza wa upande wa bavicha ukweli kwenu ni dhambi isiyo kuwa na toba
Sent using Jamii Forums mobile app
zamu yako ya kufua vyupi vya mama ikulu ni lini, nasikia mmepeana zamu za kuunga mkonoSiku zote vijaza wa upande wa bavicha ukweli kwenu ni dhambi isiyo kuwa na toba
Sent using Jamii Forums mobile app
Acha kusapoti sheria kandamizi wee pumbaffff..Ikibainika amevunja sheria achukuliwe hatua. kwa sheria zetu zinataka unapo taka kufanya mkutano basi uombe kibali kutoka kwa OCD kama hakufanya hivyo atakuwa kweli amefanya makosa na achukuliwe hatua
Ila kama atakuwa amefata sheria zote hizo basi mkuu huyo wa mkoa apuuzwe tu sugu apige zake kazi
Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu wa MKOA WA MBEYA(ameagiza MBUNGE wa Mbeya MJINI Ndg. JOSEPH MBILINYI( RAIS wa Mbeya) AKAMATWE na POLISI kufuatia kikao chake na wafanyabiashara ndogox2 waliokuwa wakitoa KILIO kwa Mbunge wao kufuatia KULAZIMISHWA kununua 'VITAMBULISHO' vya Machinga'
Mkuu wa MKOA WA MBEYA(ameagiza MBUNGE wa Mbeya MJINI Ndg. JOSEPH MBILINYI( RAIS wa Mbeya) AKAMATWE na POLISI kufuatia kikao chake na wafanyabiashara ndogox2 waliokuwa wakitoa KILIO kwa Mbunge wao kufuatia KULAZIMISHWA kununua 'VITAMBULISHO' vya Machinga'
@bichwa mtoto.Ikibainika amevunja sheria achukuliwe hatua. kwa sheria zetu zinataka unapo taka kufanya mkutano basi uombe kibali kutoka kwa OCD kama hakufanya hivyo atakuwa kweli amefanya makosa na achukuliwe hatua
Ila kama atakuwa amefata sheria zote hizo basi mkuu huyo wa mkoa apuuzwe tu sugu apige zake kazi
Sent using Jamii Forums mobile app
chama ambacho sio cha kihuni mtuambie ss 2.4 tril zip wap?Kweli kabisa, tatizo chama cha kihuni mambo yao yanaenda kihunihuni tu, kama kavunja sheria asukumwe ndani tu. Kitambulishe atoe raisi pamoja na utaratibu wake yeye anadandia kvp
Kiroboto wa Lumumba na umachinga wapi na wapi?Mnapenda maigizo kwenye maisha ya watu!!Wewe mtoto wa kiume acha kupenda vitu vya bure machinga tunajuana sisi tunaofanya hizi kazi za kimachinga kwa taarifa yako kwa machinga anae jielewa hawezi shindwa kulipia kiasi hicho
Sent using Jamii Forums mobile app
Hivi wewe utaishi milele?Umekurupuka ndugu, usipojitafakari utajiingiza kwenye matatizo bure uache familia yako inateseka, Mimi nimesema kama kavunja sheria wamsukume ndani, sasa hapo wewe unapinga nn
Wananchi kutoa kero zao kwa wabunge wao ni kuvunja sheria?Ikibainika amevunja sheria achukuliwe hatua. kwa sheria zetu zinataka unapo taka kufanya mkutano basi uombe kibali kutoka kwa OCD kama hakufanya hivyo atakuwa kweli amefanya makosa na achukuliwe hatua
Ila kama atakuwa amefata sheria zote hizo basi mkuu huyo wa mkoa apuuzwe tu sugu apige zake kazi
Sent using Jamii Forums mobile app
Uwezo wenu wa kufikiri ni mdogo sanaKweli kabisa, tatizo chama cha kihuni mambo yao yanaenda kihunihuni tu, kama kavunja sheria asukumwe ndani tu. Kitambulishe atoe raisi pamoja na utaratibu wake yeye anadandia kvp
Mwehu kapewa na mwehuUongozi anapopewa mwehu huwa tabu sana kwa werevu
Wewe una fact yoyote juu ya tuhuma zake au kigololi kimekushuka tu unakimbilia kupost upumbavu?Kweli kabisa, tatizo chama cha kihuni mambo yao yanaenda kihunihuni tu, kama kavunja sheria asukumwe ndani tu. Kitambulishe atoe raisi pamoja na utaratibu wake yeye anadandia kvp
Jamani watu wamekufuata ofisini kwako labda ilitakiwa mbunge awakimbie wale wananchiSasa we ukiangalia ile video utasema mkutano! Unaona kabisa kasimama nje ya ofisi inamaana watu wenyewe wameleta kero zao ofsini ,kutokana na wingi inawezekana ikamlazimu atoke nje kuwasikiliza
Sent using Jamii Forums mobile app
Mnamponza kiongozi wenu akienda selo hata kumuona hamuendiWewe una fact yoyote juu ya tuhuma zake au kigololi kimekushuka tu unakimbilia kupost upumbavu?
Sent using Jamii Forums mobile app