Pesa alizomwaga Tulia mkoani Mbeya zimekuwa sabuni ya roho. Unapochekelea, wenzako tunalia maana ni sehemu ya zile Trillion 2.4 zilizopigwa na mwenye nyumba. Kilangila.
Pesa alizomwaga Tulia mkoani Mbeya zimekuwa sabuni ya roho. Unapochekelea, wenzako tunalia maana ni sehemu ya zile Trillion 2.4 zilizopigwa na mwenye nyumba. Kilangila.
Ndo maana yake! Toka Tundu Lissu apigwe risasi 38 na Mbowe aswekwe rumande matatizo yoote nchi yamekwisha😃. Viwanda vingi vimejengwa, thamani ya shilingi imepanda na uchumi wetu uko juu 😩. Kilangila.Mmmmh safari bado ni ndefu kwa watanzania. Akishakamatwa matatizo ya nchii yatakwisha?
Sent using Jamii Forums mobile app
Hapa naliona kosa lake ni Uchochezi na sii Mkutano huo kwa sababu tozo ya Tsh 20,000 kwa wauza mbogamboga ni tozo za Halmashauri yaani Serikali ya mitaa, sasa anaposema atalipeleka swala hilo Bungeni nashindwa hata kumuelewa Sugu alimaanisha nini zaidi ya kuchochea Wananchi wadhani tozo hizo ni za Serikali Kuu na hivyo kuuchukia Uongozi wa Magufuli.Hivi huwa mnacomment kwa kutumia busara ipi?
Kama Sugu hakufuata sheria achukuliwe hatua , ila mkuu wa mkoa kama kosa liko kwake apuuzwe. Sheria zimetungwa kunyanyasa wapinzani au wenye mawazo mbadala tu? Umenichefua na kuniharibia asubuhi yangu nzuri.
Kwanini alipe? kitambulisho kinamsaidia nini, hatolipa kodi? au ndio kitaleta wateja? Huku juu wanasema wanawasaidia machinga, wakati wao ndio wanajisaidia, manchapisha vitambulisho havina picha wala jina la muhusika,na aina ya biashara nayayofanya. Kitambulisho gani hicho sasa, si uhuni huu. Mimi nikikinunua leo nakitumia kesho Nampa jirani yangu utajuaje ni chake au sio chake? na kwanza kinafaida gani kwa mmachina? Mgesema ukweli serikali inatafuta pesa.Wewe mtoto wa kiume acha kupenda vitu vya bure machinga tunajuana sisi tunaofanya hizi kazi za kimachinga kwa taarifa yako kwa machinga anae jielewa hawezi shindwa kulipia kiasi hicho
Sent using Jamii Forums mobile app
Sasa wanaogopa nini kusema ukweli, nchi hii ni yetu sote siyo yao kama wanavyodhani. Kam kuna cha kuchangia waseme, sio kulaghai watu na kulazimishana.
Mkuu wa MKOA WA MBEYA(ameagiza MBUNGE wa Mbeya MJINI Ndg. JOSEPH MBILINYI( RAIS wa Mbeya) AKAMATWE na POLISI kufuatia kikao chake na wafanyabiashara ndogox2 waliokuwa wakitoa KILIO kwa Mbunge wao kufuatia KULAZIMISHWA kununua 'VITAMBULISHO' vya Machinga'
======
Kamanda wa Polisi Ulrich Matei amethibitisha kumuhoji Mbunge wa Jimbo la Mbeya Mjini, Joseph Mbilinyi maarufu kama Sugu kwa kukashfu vitambulisho vya Serikali
Imeelezwa kuwa Mbunge huyo ameonekana kulikosoa zoezi la kugawa vitambulisho kwa Wafanyabiashara wadogo kwa kutumia kauli za uchochezi
Kamanda Mtei amesema kauli za Mbunge huyo zilijaa kashfa na kebehi
======
Updates:
SUGU ANYIMWA DHAMANA, KULALA RUMANDE
Mbunge huyo wa Jimbo la Mbeya Mjini aliitwa kuhojiwa na RPC wa Mkoa huo kwa tuhuma za kutoa kauli ya uchochezi
Mbunge huyo anatuhumiwa kwa kutoa kauli ya kuvikashfu vitambulisho vilivyotolewa na Serikali kwa ajili ya Wafanyabiashara
Mnakosea, sheria haisemi uombe "kibali" bali "utoe taarifa 48hrs"kwa OCD wa eneo husika kabla ya mkutano....
siutengeze chama chako mkuu kaa unaona chadema ni chama cha wahuniKweli kabisa, tatizo chama cha kihuni mambo yao yanaenda kihunihuni tu, kama kavunja sheria asukumwe ndani tu. Kitambulishe atoe raisi pamoja na utaratibu wake yeye anadandia kvp
Kama nia ya Rais ni kuwasaidia wamachinga, kwanini visigawiwe bure hivi vitambulisho?! Msaada gani unanunuliwa?! Ukiondoa wenye kazi serikalini waliobaki wote machinga.
Kwani mbona walikuwa wanafanya vizuri tu hata bila vitambulisho?!
Kama uchumi uko tight, unadhani tungeambwa kuchangia kwa hiari mbona wangepata pesa nyingi zaidi ya hizi wanazopata kwenye vitambulisho?!
Sent using Jamii Forums mobile app
Yule DED wa Itigi yuko mahabusu mkuu? Sijaisikia hiyoPumbavu kweli, sidhani kama mwisho wetu utakua mzuri. Wajifunze kwa DED wa Itigi, hakuwahi kujua kuwa leo atakua mahabusu....