RC Makonda yupo na ataendelea kuwepo sana maana hakuna wa kumtumbua na baada ya uchaguzi mkuu atakuwa Waziri Mkuu au Waziri wa Ulinzi

Cognizant

JF-Expert Member
Aug 13, 2022
514
1,093
Jana nimeshangaa mno kuona watu wakitabiri, wakiomba na wakitamani Mkuu wa Mkoa wa Arusha Paul Makonda atumbuliwe na Rais Samia Suluhu Hassan kutokana na kauli yake ambayo hadi sasa sijaona ni wapi kakosea sana sana nimeona kapatia kabisa na alikuwa sahihi.

Mkuu wa Mkoa wa Arusha yupo na wala hatotumbuliwa kama mtakavyo na tena ndiyo ataaminiwa maradufu sawa?
 
jana nimeshangaa mno kuona watu wakitabiri, wakiomba na wakitamani mkuu wa mkoa wa arusha paul makonda atumbuliwe na rais samia suluhu hassan kutokana na kauli yake ambayo hadi sasa sijaona ni wapi kakosea sana sana nimeona kapatia kabisa na alikuwa sahihi

mkuu wa mkoa wa arusha yupo na wala hatotumbuliwa kama mtakavyo na tena ndiyo ataaminiwa maradufu sawa?
Kuandika tu hujui
 
jana nimeshangaa mno kuona watu wakitabiri, wakiomba na wakitamani mkuu wa mkoa wa arusha paul makonda atumbuliwe na rais samia suluhu hassan kutokana na kauli yake ambayo hadi sasa sijaona ni wapi kakosea sana sana nimeona kapatia kabisa na alikuwa sahihi

mkuu wa mkoa wa arusha yupo na wala hatotumbuliwa kama mtakavyo na tena ndiyo ataaminiwa maradufu sawa?
Ndiyo utufokee sasa?Wewe vipi?
 
jana nimeshangaa mno kuona watu wakitabiri, wakiomba na wakitamani mkuu wa mkoa wa arusha paul makonda atumbuliwe na rais samia suluhu hassan kutokana na kauli yake ambayo hadi sasa sijaona ni wapi kakosea sana sana nimeona kapatia kabisa na alikuwa sahihi

mkuu wa mkoa wa arusha yupo na wala hatotumbuliwa kama mtakavyo na tena ndiyo ataaminiwa maradufu sawa
Mwandiko wa Makonda huu, hatuna haja ya kusumbuka sana
 
Hutaamini macho yako.
Ukichukuwa tamko lake la kwenye msiba wa Lowasa ukachanganya na udhalilishaji wa mwanamke Longido unapata Makonda katumbuliwa
Kuna na hili hapa, sijui alilichomokaje
Screenshot_20240526-134833_X.jpg
 
Back
Top Bottom