RC Makonda: Idadi ya maambukizi imepungua Dar, kuna watu walinunua majeneza na kupiga picha ili kuzua taharuki

Kuandamana tu watu wanatishiwa vifo, leo nani mwenye ujasiri wa kununua majeneza na kufanya mazishi ya uongo. Huyu mtu anajitekenya na kucheka mwenyewe, hakuna mjinga aliyempata hapa.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Proof beyond doubt
IMG_20200514_170025.jpg
 
Watu wenye nia ovu sijui haya magari waliyatoa wapi?
 

Attachments

  • IMG_20200514_164650.jpg
    IMG_20200514_164650.jpg
    115.6 KB · Views: 1
Back
Top Bottom