Mchumia Rungu
JF-Expert Member
- Apr 26, 2013
- 1,434
- 821
Labda ni kundi mojawapo la Bongo Movie. Ngoja tusubiri Movie yao itakapotoka.Hata mimi nimeshangaa sana, wachimbe makaburi, wanunue majeneza, wanunue PPE, wakodi na Ambulance kwa ajili ya kwenda kufanya "shooting", Duu!