kabanga
JF-Expert Member
- Dec 12, 2011
- 37,205
- 18,475
inabidi tujitafakari....Tatizo ni sisi sio wao
inabidi tujitafakari....Tatizo ni sisi sio wao
Duuh😨😨View attachment 1451153
Mkuu wa Mkoa wa Dar, Paul Makonda amesema hali katika mkoa huo inaendelea vizuri na anachofahamu ni kuwa wamemuomba Mungu na kila mmoja ameendelea kuchukua tahadhari
Amesema “Kila mmoja ameweka jitihada kuhakikisha amevaa barakoa, kwenye daladala tumehakikisha watu wanapeana nafasi, watu wananawa mikono kwa maji tiririka, watu wameendelea kujifukiza na kuchukua tahadhari mbalimbali”
Ameongeza, “Tahadhari hizo zinaleta majibu mazuri na matumaini. Asubuhi nimepokea taarifa kutoka kwa RMO amenambia hali inaendela kuwa nzuri na si mbaya kama ilivyokuwa mwanzo. Watu kupiga simu wamechanganyikiwa imepungua”
Amesema “Mungu anaendelea kutupa neema zake na anatulinda. Nimeona niwape taarifa hii kwa sababu tunapokaa kimya na kuwapa watu waovu nafasi kutumia ukimya wetu kutoa taarifa zisizo sahihi.”
Aidha amebainisha kuwa kuna video moja amefuatilia, watu walinunua majeneza na kwenda sehemu na kujaribu kama kuchimba na kurekodi kuonesha watu wanazikwa usiku. Amesema wapo wanafanya kuonesha hali ni mbaya huku akiomba watu kupuuza taarifa hizo
This was not fair!Hellow! my fellow Tanzanian's wacheni kumsikiliza huyu mpuuzi, corona ipo around na inaua watu sana tu. Tangu lini mwanaume mwenye makalio makubwa akaongea point
Sent using Jamii Forums mobile app
akili zake ni za cannabis sativa.View attachment 1451153
Mkuu wa Mkoa wa Dar, Paul Makonda amesema hali katika mkoa huo inaendelea vizuri na anachofahamu ni kuwa wamemuomba Mungu na kila mmoja ameendelea kuchukua tahadhari
Amesema “Kila mmoja ameweka jitihada kuhakikisha amevaa barakoa, kwenye daladala tumehakikisha watu wanapeana nafasi, watu wananawa mikono kwa maji tiririka, watu wameendelea kujifukiza na kuchukua tahadhari mbalimbali”
Ameongeza, “Tahadhari hizo zinaleta majibu mazuri na matumaini. Asubuhi nimepokea taarifa kutoka kwa RMO amenambia hali inaendela kuwa nzuri na si mbaya kama ilivyokuwa mwanzo. Watu kupiga simu wamechanganyikiwa imepungua”
Amesema “Mungu anaendelea kutupa neema zake na anatulinda. Nimeona niwape taarifa hii kwa sababu tunapokaa kimya na kuwapa watu waovu nafasi kutumia ukimya wetu kutoa taarifa zisizo sahihi.”
Aidha amebainisha kuwa kuna video moja amefuatilia, watu walinunua majeneza na kwenda sehemu na kujaribu kama kuchimba na kurekodi kuonesha watu wanazikwa usiku. Amesema wapo wanafanya kuonesha hali ni mbaya huku akiomba watu kupuuza taarifa hizo