Kwa Tanzania Mwanasiasa ndiyo humwelekeza Mtaalamu nini cha kufanya..safi sana.
kimsingi Karia koo kwa sasa inapaswa ihamie Maeneo ya MBEZI MWISHO, STENDI YA MAGUFULI.
JIJI la DSR ljnapaswa lipanuke.
tubadilike, wataalamu wa mipango miji wapo lkn hawataki kutumia taaluma zao vyema.
Mengi tu wasiliana na DED wako!Ametoa mfano wa hayo maeneo rasmi mbali na Machinga complex?
Nasubiria utekelezajiMkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam Amos Makalla ameingia Kariakoo kwa kutumia basi la Mwendokasi (haijulikani alikotokea) na kutoa Maagizo kwamba baada ya siku 7 njia zote za watembea kwa miguu kwenye eneo hilo , ambazo zimejaa wamachinga , mama lishe , wachoma mihogo na wauza Alikasusi ziwe wazi
Bali haijulikani ni wapi wamachinga hao watapelekwa .
Pale mwenge ile barabara ya kuingia walishafanya yao, kuingia au kugeuza gari ni mtihani hawataki hata usogelee vibanda vyao.Safi sana! jamaa wamegeuka kero kubwa katikati ya mji hata Mwenge pia!
Je wataweza wakumbuke ni wapiga kura wenu je chadema ndio waliowaagiza wapange hizo biashara barabarani bac hayaOndoa wote jiji lipangwe sasa kibiashara
Machadema watapinga na hili