Stephano Mgendanyi
JF-Expert Member
- May 16, 2020
- 1,980
- 960
RC KATAVI, MHE. MWANAMVUA MRINDOKO: Uzalishaji wa Chakula Mkoa wa Katavi Waongezeka
UJUMBE WA RC KATAVI KWA WATANZANIA KUHUSU MAZINGIRA WAKATI WA MAAHDIMISHO YA MIAKA 60 YA MUUNANO.
Mkuu wa Mkoa wa Katavi, Mhe. Mwanamvua Mrindoko ametoa wito kwa Wananchi wa Mkoa huo kutunza mazingira kwa wivu mkubwa kwa kuwa manufaa yake ni makubwa.
Mrindoko ametoa wito huo katika maadhimisho ya miaka 60 ya Muungano wa Tanganyika na Zanzibar yaliyo adhimishwa kimkoa Wilayani Mlele.