Katavi: Nyasi zaota kwa wingi katika Kituo cha Afya kilichojengwa kwa Milioni 500

Roving Journalist

JF Roving Journalist
Apr 18, 2017
2,812
11,989
Licha ya Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kuendelea kujenga na kuboresha Zahanati na vituo vya Afya lakini bado kuna baadhi ya Watumishi wa Serikali wamedaiwa kutokuwa Wazalendo katika kutunza na kulinda miundonbinu ya Afya.

Kituo cha Afya Ugala kilichopo Kata ya Ugala, Halmashauri ya Nsimbo mkoani Katavi kipo katika hali ambayo si rafiki kwa Wagonjwa kwani kimezungukwa na vichaka virefu vya nyasi licha ya kituo hicho tayari kimeshaanza kutoa huduma za afya kwa Watanzania walio karibu na kituo hicho.

Mkuu wa Mkoa wa Katavi, Mwanamvua Mrindoko amefanya ziara ya kutembelea kituo hicho cha afya Ugala na kukuta kimezungukwa na nyasi nyingi ambapo ameuliza baadhi ya Watendaji wa Serikali katika Halmashauri ya Nsimbo ili kujua sababu ya kuwepo kichaka hicho lakini hakupewa majibu ya kuridhisha.

Afisa Tarafa, Ndurumo Pesambili Semuyemba na Mkurugenzi wa Halmashauri hiyo Mohamed Ramadhani wamesema hali hiyo imefanywa na baadhi ya Watendaji wa eneo hilo ambapo wamedai mradi huo ulisimama kwa takribani mwaka mzima ikidaiwa pesa zilikwisha na Kituo cha Afya hakijakamilika huku Mkuu wa Wilaya ya Mpanda, Jamila Yusuf licha ya kutembelea kituo hicho mwezi uliopita amesikitishwa kukuta hali hiyo na kuomba kupewa muda ili kuweza kuwashughulikia baadhi ya wazembe ambao wameshindwa kufanya usafi.

Mkuu wa Mkoa Mwanamvua Mrindoko amesema amekerwa na kusikitishwa licha ya pesa kuisha za kukamilisha ujenzi wa kituo hicho cha Afya na pesa zimeshakwisha.

Aidha, Mrindoko amewasimamisha baadhi ya Watumishi ili wapishe uchinguzi akiwemo mganga mkuu wa halimashauri ya Nsimbo, afisa tarafa tarafa ya Ndurumo, mtendaji wa kata, mtendaji wa kijiji na wengine watakaoonekana wanahusika.
 
Licha ya Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kuendelea kujenga na kuboresha Zahanati na vituo vya Afya lakini bado kuna baadhi ya Watumishi wa Serikali wamedaiwa kutokuwa Wazalendo katika kutunza na kulinda miundonbinu ya Afya.

Kituo cha Afya Ugala kilichopo Kata ya Ugala, Halmashauri ya Nsimbo mkoani Katavi kipo katika hali ambayo si rafiki kwa Wagonjwa kwani kimezungukwa na vichaka virefu vya nyasi licha ya kituo hicho tayari kimeshaanza kutoa huduma za afya kwa Watanzania walio karibu na kituo hicho.

Mkuu wa Mkoa wa Katavi, Mwanamvua Mrindoko amefanya ziara ya kutembelea kituo hicho cha afya Ugala na kukuta kimezungukwa na nyasi nyingi ambapo ameuliza baadhi ya Watendaji wa Serikali katika Halmashauri ya Nsimbo ili kujua sababu ya kuwepo kichaka hicho lakini hakupewa majibu ya kuridhisha.

Afisa Tarafa, Ndurumo Pesambili Semuyemba na Mkurugenzi wa Halmashauri hiyo Mohamed Ramadhani wamesema hali hiyo imefanywa na baadhi ya Watendaji wa eneo hilo ambapo wamedai mradi huo ulisimama kwa takribani mwaka mzima ikidaiwa pesa zilikwisha na Kituo cha Afya hakijakamilika huku Mkuu wa Wilaya ya Mpanda, Jamila Yusuf licha ya kutembelea kituo hicho mwezi uliopita amesikitishwa kukuta hali hiyo na kuomba kupewa muda ili kuweza kuwashughulikia baadhi ya wazembe ambao wameshindwa kufanya usafi.

Mkuu wa Mkoa Mwanamvua Mrindoko amesema amekerwa na kusikitishwa licha ya pesa kuisha za kukamilisha ujenzi wa kituo hicho cha Afya na pesa zimeshakwisha.

Aidha, Mrindoko amewasimamisha baadhi ya Watumishi ili wapishe uchinguzi akiwemo mganga mkuu wa halimashauri ya Nsimbo, afisa tarafa tarafa ya Ndurumo, mtendaji wa kata, mtendaji wa kijiji na wengine watakaoonekana wanahusika.
Jinsia Ile ni shida Kila walipo!
1. Waziri wa afya
2. Mkuu wa Mkoa
3. DED
Wote jinsia Ile issues kujipamba
 
Kituo cha Afya Ugala kilichopo Kata ya Ugala, Halmashauri ya Nsimbo mkoani Katavi kipo katika hali ambayo si rafiki kwa Wagonjwa kwani kimezungukwa na vichaka virefu vya nyasi licha ya kituo hicho tayari kimeshaanza kutoa huduma za afya kwa Watanzania walio karibu na kituo hicho.
Nasikia radi kwa mbaaali, wenye nazo wameanza kutega mitambo, malizeni kikao haraka msije mkajeruhiwa
 
Licha ya Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kuendelea kujenga na kuboresha Zahanati na vituo vya Afya lakini bado kuna baadhi ya Watumishi wa Serikali wamedaiwa kutokuwa Wazalendo katika kutunza na kulinda miundonbinu ya Afya.

Kituo cha Afya Ugala kilichopo Kata ya Ugala, Halmashauri ya Nsimbo mkoani Katavi kipo katika hali ambayo si rafiki kwa Wagonjwa kwani kimezungukwa na vichaka virefu vya nyasi licha ya kituo hicho tayari kimeshaanza kutoa huduma za afya kwa Watanzania walio karibu na kituo hicho.

Mkuu wa Mkoa wa Katavi, Mwanamvua Mrindoko amefanya ziara ya kutembelea kituo hicho cha afya Ugala na kukuta kimezungukwa na nyasi nyingi ambapo ameuliza baadhi ya Watendaji wa Serikali katika Halmashauri ya Nsimbo ili kujua sababu ya kuwepo kichaka hicho lakini hakupewa majibu ya kuridhisha.

Afisa Tarafa, Ndurumo Pesambili Semuyemba na Mkurugenzi wa Halmashauri hiyo Mohamed Ramadhani wamesema hali hiyo imefanywa na baadhi ya Watendaji wa eneo hilo ambapo wamedai mradi huo ulisimama kwa takribani mwaka mzima ikidaiwa pesa zilikwisha na Kituo cha Afya hakijakamilika huku Mkuu wa Wilaya ya Mpanda, Jamila Yusuf licha ya kutembelea kituo hicho mwezi uliopita amesikitishwa kukuta hali hiyo na kuomba kupewa muda ili kuweza kuwashughulikia baadhi ya wazembe ambao wameshindwa kufanya usafi.

Mkuu wa Mkoa Mwanamvua Mrindoko amesema amekerwa na kusikitishwa licha ya pesa kuisha za kukamilisha ujenzi wa kituo hicho cha Afya na pesa zimeshakwisha.

Aidha, Mrindoko amewasimamisha baadhi ya Watumishi ili wapishe uchinguzi akiwemo mganga mkuu wa halimashauri ya Nsimbo, afisa tarafa tarafa ya Ndurumo, mtendaji wa kata, mtendaji wa kijiji na wengine watakaoonekana wanahusika.
Hao wanaoshangaa Kila mwezi wanapelekewa taarifa za utekelezwaji kwenye Kamati ya Ulinzi na Usalama,wanashangaa nini? Kwa nini siku zote hizo Huwa hawafuatilii?

Harafu huko kwenye kata Kuna Viongozi wote wa Chama Hadi Serikali na Madiwani,ilikuaje mwaka mzima hawajui kinachoendelea?
 
Jinsia Ile ni shida Kila walipo!
1. Waziri wa afya
2. Mkuu wa Mkoa
3. DED
Wote jinsia Ile issues kujipamba
Waziri wa Afya anahusikaje na Vituo vya Afya?

Mbona Wakuu wengi tuu wa Mikoa wanaume na Vituo vya Afya na hospital hazijamalizika? Kwa nini jinsia zao hazijafanya kazi?
 
Back
Top Bottom