Roving Journalist
JF Roving Journalist
- Apr 18, 2017
- 2,971
- 12,291
Naye, Katibu tawala wa mkoa huo, Albert Msovela amesema misaada hiyo ina gharama ya jumla ya sh milioni 113.
Ikumbukwe kuwa mwezi uliopita naadhi ya maeneo ya mkoa huo yalikumbwa na mvua kali iliyosababisha mafuriko na wananchi kupata adha ya mafuriko hayo.