RC Hapi: Mimi ni mtu hatari, usiniudhi, usinichezee!

RC Hapi: Mimi ni mtu hatari, usiniudhi, usinichezee!

Ni baadhi ya maneno yaliyotamkwa na Mkuu wa Mkoa wa Iringa,mdogo wangu na Mwanasheria mwenzangu Ally Hapi. Alikuwa akielekea kutoa amri ya kukamatwa,kuwekwa ndani,kuhojiwa na kufikishwa mahakamani kwa Mwenyekiti wa Serikali ya Mtaa na Diwani wa Viti Maalum huko Iringa kwa tiketi ya CHADEMA.

Kadiri ya clip ya video niliyoitazama kwa MillardAyo,kuna Mzee mmoja alilalamika kwa RC Hapi kuwa amebomolewa nyumba yake kwa amri ya Mwenyekiti na Diwani huyo wa CHADEMA. Mlalamikaji akajitambulisha kama Mwenyekiti wa Tawi la CCM.Mwanamama mhusika alijitetea bila mafanikio. Akakamatwa na askari wa kike wa JWTZ baada ya kukosekana kwa askari wa kike wa Polisi.

Kimsingi,maneno ya aina hiyo yamekuwa ya kawaida kwa Wakuu wa mikoa na wilaya nchini. Yana tija gani? Yaendelee?
mpaka 2020 hakika hakuna rangi tutaacha kuiona dah
 
Huna lolote ww ni muuza face tu huko ulipo, unadhani kuna mtu anashoboka ukisema uko nje? Ww utakuwa ni mtu mapenzi ya jinsia moja, unaongea utadhani ni mtu jasiri kumbe k@ma tu.
Hahaha dah mkuu basi ,huwa unanifurahisha sana ,jino kwa jino sio unajifanya una busara nyingi unapotezea ujinga tu huku rohoni unaumia.
 
Eti mtu hatari, ana vichwa 3 na miguu 10? acheni hizo, hayo ni madaraka na yana ukomo wake.
 
Mtu hatari kwako ambako unaweza pindisha tarataibu kadri upendavyo.
 
Mhhh kwa sisi wazawa wa huu mkoa,kuna mambo tunajua.hawa wazee wa huu mji wakitaka kumharibia mtu wanatuma lile pepo lao lile.kuna pepo la hasira zisizokua za kawaida kwenye huu mkoa ndo maana unaona watu wengine wanajiuaga ni pepo la hasira hilo ndo linampelekea mtu kukasirika mpaka anaona kuishi haina faida anajiua.na wakitaka kumharibia mtu ndo wanalituma hilo yaan likitumwa basi jua wameshaharibu destiny ya mtu.sababu huwezi fanya maamuzi ya busara na hekima ukiwa na hasira.linafanya kazi taratibu hili pepo ila ujue kabisa mwisho wa maamuzi yasiyo nabusara huwa ni kuondolewa kwenye utukufu wa mtu na mission inakua accomplished.watu wa mji huu huwa wakarimu usoni,ila usiku huwa wanaenda kwenye zile shrine zao zile wanakuharibu.kamwe hawatumii nguvu za mwilini hizi kumharibia mtu.mchana ni wapole wao ni ndio mzee kwenye kila kitu lakini usiku wanafanya mauaji kwenye ule ulimwengu usio onekana.na kama ujuavyo ulimwengu usionekana ndo unatawala unaonekana.nisiseme mengi lakini huu mkoa una mambo sana yale ya giza yale.
 
Ni baadhi ya maneno yaliyotamkwa na Mkuu wa Mkoa wa Iringa,mdogo wangu na Mwanasheria mwenzangu Ally Hapi. Alikuwa akielekea kutoa amri ya kukamatwa,kuwekwa ndani,kuhojiwa na kufikishwa mahakamani kwa Mwenyekiti wa Serikali ya Mtaa na Diwani wa Viti Maalum huko Iringa kwa tiketi ya CHADEMA.

Kadiri ya clip ya video niliyoitazama kwa MillardAyo,kuna Mzee mmoja alilalamika kwa RC Hapi kuwa amebomolewa nyumba yake kwa amri ya Mwenyekiti na Diwani huyo wa CHADEMA. Mlalamikaji akajitambulisha kama Mwenyekiti wa Tawi la CCM.Mwanamama mhusika alijitetea bila mafanikio. Akakamatwa na askari wa kike wa JWTZ baada ya kukosekana kwa askari wa kike wa Polisi.

Kimsingi,maneno ya aina hiyo yamekuwa ya kawaida kwa Wakuu wa mikoa na wilaya nchini. Yana tija gani? Yaendelee?
Semina elekezi ni muhimu kwa viongozi wetu!
 
Hukufuatilia safari ya rais huko serengeti. alifanya sawa sawa kabisa na hicho alichofanya huyo RC. Naye alisikiliza upande mmoja toka kwa mwanaccm aliyemtumuhu mtendaji wa cdm kuhusu fedha za umma. Rais akaagiza palepale huyo mtendaji akamatwe na kuwekwa ndani. Hiyo tabia ni fashion kwa sasa na muasisi wake ni rais.
Ni vyema hawa waitwao viongozi watafute copy ya gazeti hili na kusoma hiyo story watajua hatari waliyo nayo kwa tabia walizo nazo. Ni bora likizo zao waende Simiyu Mtaka akawafundishe utawala bora ni upi na jinsi ambavyo unakuwa salama huhitaji hata mlinzi mmoja katikati ya jamii
kleruu.png
 
Ni baadhi ya maneno yaliyotamkwa na Mkuu wa Mkoa wa Iringa,mdogo wangu na Mwanasheria mwenzangu Ally Hapi. Alikuwa akielekea kutoa amri ya kukamatwa,kuwekwa ndani,kuhojiwa na kufikishwa mahakamani kwa Mwenyekiti wa Serikali ya Mtaa na Diwani wa Viti Maalum huko Iringa kwa tiketi ya CHADEMA.

Kadiri ya clip ya video niliyoitazama kwa MillardAyo,kuna Mzee mmoja alilalamika kwa RC Hapi kuwa amebomolewa nyumba yake kwa amri ya Mwenyekiti na Diwani huyo wa CHADEMA. Mlalamikaji akajitambulisha kama Mwenyekiti wa Tawi la CCM.Mwanamama mhusika alijitetea bila mafanikio. Akakamatwa na askari wa kike wa JWTZ baada ya kukosekana kwa askari wa kike wa Polisi.

Kimsingi,maneno ya aina hiyo yamekuwa ya kawaida kwa Wakuu wa mikoa na wilaya nchini. Yana tija gani? Yaendelee?
ivi huo mkoa si ndio wa yule mshkaji mwamwindi? Asee awe makini historia huwa inapenda kujirudia!
 
Bora hata dada yetu mkuu wa wilaya ya Kisarawe yeye hana maneno ya shombo
 
Ni baadhi ya maneno yaliyotamkwa na Mkuu wa Mkoa wa Iringa,mdogo wangu na Mwanasheria mwenzangu Ally Hapi. Alikuwa akielekea kutoa amri ya kukamatwa,kuwekwa ndani,kuhojiwa na kufikishwa mahakamani kwa Mwenyekiti wa Serikali ya Mtaa na Diwani wa Viti Maalum huko Iringa kwa tiketi ya CHADEMA.

Kadiri ya clip ya video niliyoitazama kwa MillardAyo,kuna Mzee mmoja alilalamika kwa RC Hapi kuwa amebomolewa nyumba yake kwa amri ya Mwenyekiti na Diwani huyo wa CHADEMA. Mlalamikaji akajitambulisha kama Mwenyekiti wa Tawi la CCM.Mwanamama mhusika alijitetea bila mafanikio. Akakamatwa na askari wa kike wa JWTZ baada ya kukosekana kwa askari wa kike wa Polisi.

Kimsingi,maneno ya aina hiyo yamekuwa ya kawaida kwa Wakuu wa mikoa na wilaya nchini. Yana tija gani? Yaendelee?
Yaani mpaka jeshi siku hizi linatumika ktk mikutani ya kisiasa tukisema tunapelekwa Burundi wengine wanachekelea. Wapo wasiopenda kuona Watanzania wakiishi kwa amani tena ni viongozi wetu wakuu wa nchi. Yaani Magufuli hataki watanzania waishi kwa amani anataka tukatane mapanga kama wale ndg zake walivyouwana uko kwao Burundi
 
Kayanza kijana wako ameanza kulewa madaraka
 
Petro E. Mselewa,

..mdogo wako, Mkuu wa mkoa, amewaita wapinzani WANYAMA.

..and he sounded very serious about it. And repeated the statement several times.

..sijui una maoni gani hapo.

..mimi naona hilo la kuwaita wapinzani WANYAMA ni kubwa kuliko majigambo kuwa yeye ni mtu hatari.
 
Petro E. Mselewa,

..mdogo wako, Mkuu wa mkoa, amewaita wapinzani WANYAMA.

..and he sounded very serious about it. And repeated the statement several times.

..sijui una maoni gani hapo.

..mimi naona hilo la kuwaita wapinzani WANYAMA ni kubwa kuliko majigambo kuwa yeye ni mtu hatari.
Hilo sijalisikia wala kuliona Mkuu. Kama limetokea,ni jambo la kulikemea na kulipinga hadharani. Tatizo la MaRC na MaDC wengi wanadhani kuwa wameteuliwa kwa ajili ya kupambana na kusambaratisha upinzani kwenye maeneo yao. Ni dhana isiyofaa.
 
Hilo sijalisikia wala kuliona Mkuu. Kama limetokea,ni jambo la kulikemea na kulipinga hadharani. Tatizo la MaRC na MaDC wengi wanadhani kuwa wameteuliwa kwa ajili ya kupambana na kusambaratisha upinzani kwenye maeneo yao. Ni dhana isiyofaa.

..kuna clip ndefu zaidi ya tukio unalolizungumzia.

..baada ya huyo mama kuchukuliwa na wana usalama ndipo Mh.RC alipotoa matamshi kwamba wananchi wamechagua WANYAMA.
 
Back
Top Bottom