RC Hapi: Mimi ni mtu hatari, usiniudhi, usinichezee!

RC Hapi: Mimi ni mtu hatari, usiniudhi, usinichezee!

Ninachojua ni mtu mwenye misimamo isiyotetereka. Haamini sana katika mwanadamu. Alinyanyaswa sana na kina membe alipokuwa lumumba sababu alikataa kutumiwa. Na membe alimuambia utajua mi nani. Alidhani angekuwa rais.

Badae walitaka wamtoe lumumba wampeleke vichororoni sababu ya misimamo yake isioyumba. Hata hivyo sababu anaamini kila jambo ni la Mungu na si mwanadamu basi Magu akapita na kumteua DC na badae RC.

Huyo ndio Ally Happi. Muda utasema.
Ndugu,
Pamoja na yote hayo, Ally Happi alionekana waziwazi kuwa kapungukiwa na hekima ndio maana hakuwa na heshima wala adabu hata kwa waliyomzidi umri Baba yake mzazi. Maisha huwa hayako hivyo.
Hata hivyo kwa kuwa bado yu kijana, ninadhani hii ni nafasi/fursa kwake aliyopewa na Mungu kujifunza. Akifanya hivyo ataweza kuja kuwa kiongozi bora na mfano mwema kwa vijana wajao. Amen
 
Ninachojua ni mtu mwenye misimamo isiyotetereka. Haamini sana katika mwanadamu. Alinyanyaswa sana na kina membe alipokuwa lumumba sababu alikataa kutumiwa. Na membe alimuambia utajua mi nani. Alidhani angekuwa rais.

Badae walitaka wamtoe lumumba wampeleke vichororoni sababu ya misimamo yake isioyumba. Hata hivyo sababu anaamini kila jambo ni la Mungu na si mwanadamu basi Magu akapita na kumteua DC na badae RC.

Huyo ndio Ally Happi. Muda utasema
Ni mwanasiasa.
 
Ndugu,
Pamoja na yote hayo, Ally Happi alionekana waziwazi kuwa kapungukiwa na hekima ndio maana hakuwa na heshima wala adabu hata kwa waliyomzidi umri Baba yake mzazi. Maisha huwa hayako hivyo.
Hata hivyo kwa kuwa bado yu kijana, ninadhani hii ni nafasi/fursa kwake aliyopewa na Mungu kujifunza. Akifanya hivyo ataweza kuja kuwa kiongozi bora na mfano mwema kwa vijana wajao. Amen
Alichokifanya Happi ni sahihi katika uongozi wa kisiasa. Ukiangalia maneno ya happi ni anawakumbusha wazee kutii mamlaka, mambo ambayo wao wamekuwa wakiwafundisha wao.

Umesahau Makonda aliwahi kumkwida mzee Warioba na badae akawa DC? Nape na January walimsema sana Magu na badae wakawa mawaziri. Inategemea tu nani kashambuliwa na kwa wakati gani. Ndio maana nikasema muda utasema.
 
Alichokifanya Happi ni sahihi katika uongozi wa kisiasa. Ukiangalia maneno ya happi ni anawakumbusha wazee kutii mamlaka, mambo ambayo wao wamekuwa wakiwafundisha wao.

Umesahau Makonda aliwahi kumkwida mzee Warioba na badae akawa DC? Nape na January walimsema sana Magu na badae wakawa mawaziri. Inategemea tu nani kashambuliwa na kwa wakati gani. Ndio maana nikasema muda utasema.
Ndugu,
Aliyekuwa anawatia kiburi hao akina Makonda, Sabaya na wengine wa aina yao, tunashukuru kuwa sasa hatunae tena. Na hata katiba hii mbovu inayoruhusu uholela na watu kujipa umungu mtu i karibu kuondolewa.
Ni wazi kuwa style hizo za kihuni za maisha na uongozi walizokuwa wamezizoea zitazidi kukosa nafasi katika jamii ya kistaarabu tunayoijenga kama TAIFA. Ambae atajiona kuwa hayuko tayari, basi atakuwa kajihukumu na kujitoa mwenyewe. HEKIMA UMOJA NA AMANI HIZI NI NDIO NGAO ZETU. AMEN.
 
Nilijuaga ni mtu makini sana.....kumbe nae anatetea gari na mafuta...of course ilipaswa afungue tu kesi kwani ni jambaz au ametumia silaha au ameua tuseme atatoroka? Wafanye wafanyalo ila mwisho wa siku wafahamu kuwa wote sisi ni wanadamu tu vyeo vinapita na mwisho wa siku tutalipwa na kukumbwuka positively kwa wema tunaotenda....

Hatimaye yametimia.
 
Ni baadhi ya maneno yaliyotamkwa na Mkuu wa Mkoa wa Iringa, mdogo wangu na Mwanasheria mwenzangu Ally Hapi. Alikuwa akielekea kutoa amri ya kukamatwa,kuwekwa ndani,kuhojiwa na kufikishwa mahakamani kwa Mwenyekiti wa Serikali ya Mtaa na Diwani wa Viti Maalum huko Iringa kwa tiketi ya CHADEMA.

View attachment 2306806

Kadiri ya clip ya video niliyoitazama kwa MillardAyo,kuna Mzee mmoja alilalamika kwa RC Hapi kuwa amebomolewa nyumba yake kwa amri ya Mwenyekiti na Diwani huyo wa CHADEMA. Mlalamikaji akajitambulisha kama Mwenyekiti wa Tawi la CCM.Mwanamama mhusika alijitetea bila mafanikio. Akakamatwa na askari wa kike wa JWTZ baada ya kukosekana kwa askari wa kike wa Polisi.

Kimsingi,maneno ya aina hiyo yamekuwa ya kawaida kwa Wakuu wa mikoa na wilaya nchini. Yana tija gani? Yaendelee?
Na yule mwingine alinwita Hapi mshirikina,Hapi akasema aripoti kwangu kesho asubuhi ofisini. Tukamwambia aende ofisini amesahau kuvaa chupi
 
Ninachojua ni mtu mwenye misimamo isiyotetereka. Haamini sana katika mwanadamu. Alinyanyaswa sana na kina membe alipokuwa lumumba sababu alikataa kutumiwa. Na membe alimuambia utajua mi nani. Alidhani angekuwa rais.

Badae walitaka wamtoe lumumba wampeleke vichororoni sababu ya misimamo yake isioyumba. Hata hivyo sababu anaamini kila jambo ni la Mungu na si mwanadamu basi Magu akapita na kumteua DC na badae RC.

Huyo ndio Ally Happi. Muda utasema.
Hahahahaaa. Ikawaje tena akaja kumsifia kinana?
 
Ndugu,
Pamoja na yote hayo, Ally Happi alionekana waziwazi kuwa kapungukiwa na hekima ndio maana hakuwa na heshima wala adabu hata kwa waliyomzidi umri Baba yake mzazi. Maisha huwa hayako hivyo.
Hata hivyo kwa kuwa bado yu kijana, ninadhani hii ni nafasi/fursa kwake aliyopewa na Mungu kujifunza. Akifanya hivyo ataweza kuja kuwa kiongozi bora na mfano mwema kwa vijana wajao. Amen
Hakuna cha Amen hapa!
 
Ndugu,
Aliyekuwa anawatia kiburi hao akina Makonda, Sabaya na wengine wa aina yao, tunashukuru kuwa sasa hatunae tena. Na hata katiba hii mbovu inayoruhusu uholela na watu kujipa umungu mtu i karibu kuondolewa.
Ni wazi kuwa style hizo za kihuni za maisha na uongozi walizokuwa wamezizoea zitazidi kukosa nafasi katika jamii ya kistaarabu tunayoijenga kama TAIFA. Ambae atajiona kuwa hayuko tayari, basi atakuwa kajihukumu na kujitoa mwenyewe. HEKIMA UMOJA NA AMANI HIZI NI NDIO NGAO ZETU. AMEN.
Hapo kwenye katiba hata ishushwe misafu kwa aina ya viongozi Toka vyama vyote hakuna siku tutaona imefaa. Lejea marekani enzi za bwana Trump, sipika wabunge mwanamama Nace amejalibu ×2 kuitisha kura ya kutokua na Imani na Rais.
Hata kama haikuezekana lakini alitumia mamalaka yake ,anayo pewa na katiba.

Ungereza Nako wamejalibu, Cha ajabu hapa mliona nini? Mtu anaigiza kwenda kwa wazee, kwanini hakutumia mamla alionayo nakatiba inamlinda?
 
Hapo kwenye katiba hata ishushwe misafu kwa aina ya viongozi Toka vyama vyote hakuna siku tutaona imefaa. Lejea marekani enzi za bwana Trump, sipika wabunge mwanamama Nace amejalibu ×2 kuitisha kura ya kutokua na Imani na Rais.
Hata kama haikuezekana lakini alitumia mamalaka yake ,anayo pewa na katiba.

Ungereza Nako wamejalibu, Cha ajabu hapa mliona nini? Mtu anaigiza kwenda kwa wazee, kwanini hakutumia mamla alionayo nakatiba inamlinda?
Tukiamua kama waTz tuliyodhamiria kuboresha uendeshaji wa nchi na taifa letu, tunaweza kabisa. Miaka sitini kama jamhuri ni somo tosha kwetu.
 
Back
Top Bottom