Allen Kilewella
JF-Expert Member
- Sep 30, 2011
- 18,330
- 33,958
Mkuu wa Mkoa wa Dar es salaam Albert Chalamila, amesema kuwa mtu mnyonge hawezi kufurahia kitu kizuri, mnyonge anafurahia vitu vya hovyo hovyo.
Chalamila amesema maneno hayo alipokuwa akizungumza na wafanyakazi, wafanyabiashara, na viongozi mbali mbali kwenye Machinjio ya Vingunguti siku kadhaa zilizopita.
"Ukiona Mheshimiwa Rais anajenga soko zuri, hajengi Kwa sababu kuna mnyonge..." Alisema Chalamila.
Wanyonge mjipange kivingine ukweli ndiyo mshaambiwa hivyo.
Chanzo: Global Tv.
Chalamila amesema maneno hayo alipokuwa akizungumza na wafanyakazi, wafanyabiashara, na viongozi mbali mbali kwenye Machinjio ya Vingunguti siku kadhaa zilizopita.
"Ukiona Mheshimiwa Rais anajenga soko zuri, hajengi Kwa sababu kuna mnyonge..." Alisema Chalamila.
Wanyonge mjipange kivingine ukweli ndiyo mshaambiwa hivyo.
Chanzo: Global Tv.