Mkuu wa mkoa ataka madanguro yawe yenye hadhi na staha badala ya vile vibanda uchochoroni
[
View: https://m.youtube.com/watch?v=-L8fJk4mSTk
Mkuu wa mkoa wa Dar es Salaam pia azungumzia suala la demand and supply yaani soko na wateja wa biashara ya ngono ilivyo na jinsi ya kwenda nayo
RC Albert Chalamila azipongeza baadhi ya baa kuweza kudumu kwa miondo kadhaa lakini azitaka kubadilika ...
Mkuu wa mkoa asisitiza katika sekta hiyo lazima viwango vipande siyo kuendesha madanguro ktk vibanda kwa kuwa kule ni udhalilishaji, jiji na mkoa wa Dar es Salaam ndiyo Tanzania yenyewe hivyo viwango ni muhimu asisitiza wakati akizungumza na wenye mabaa, gesti na hata wale wa gesti bubu.
[
View: https://m.youtube.com/watch?v=-L8fJk4mSTk
Mkuu wa mkoa wa Dar es Salaam pia azungumzia suala la demand and supply yaani soko na wateja wa biashara ya ngono ilivyo na jinsi ya kwenda nayo
RC Albert Chalamila azipongeza baadhi ya baa kuweza kudumu kwa miondo kadhaa lakini azitaka kubadilika ...
Mkuu wa mkoa asisitiza katika sekta hiyo lazima viwango vipande siyo kuendesha madanguro ktk vibanda kwa kuwa kule ni udhalilishaji, jiji na mkoa wa Dar es Salaam ndiyo Tanzania yenyewe hivyo viwango ni muhimu asisitiza wakati akizungumza na wenye mabaa, gesti na hata wale wa gesti bubu.