08 November 2023
Dar es Salaam, Tanzania
Wana-DSM wakataa kuitikia salaam ya RC Albert Chalamila ya : Jamhuri ya Tanzania Kazi Iendelee!
View: https://m.youtube.com/watch?v=kM_aAsBDN74
RC Albert Chalamila behewa kwa behewa asikiliza kero za abiria watumiaji wa treni ya mjini iliyopo jijini Dar es Salaam
Mamia ya wasafiri wa treni jijini Dar es Salaam wanaoelekea maeneo Airport, Gongo la Mboto, Pugu n.k wapandwa na jazba wakataa kuitikia salaam ya Jamhuri ya Tanzania Kazi Iendelee!
Mkuu wa mkoa astuka hali hii ya kisiasa wananchi kukataa kuitikia kauli mbiu ya awamu ya sita kwa sababu kero hii imewakifu na wailaumu TRC na serikali kukosa kuwajali na wananchi wananyanyasika katika nchi hii huru ya Tanzania.
Dar es Salaam, Tanzania
Wana-DSM wakataa kuitikia salaam ya RC Albert Chalamila ya : Jamhuri ya Tanzania Kazi Iendelee!
View: https://m.youtube.com/watch?v=kM_aAsBDN74
RC Albert Chalamila behewa kwa behewa asikiliza kero za abiria watumiaji wa treni ya mjini iliyopo jijini Dar es Salaam
Mamia ya wasafiri wa treni jijini Dar es Salaam wanaoelekea maeneo Airport, Gongo la Mboto, Pugu n.k wapandwa na jazba wakataa kuitikia salaam ya Jamhuri ya Tanzania Kazi Iendelee!
Mkuu wa mkoa astuka hali hii ya kisiasa wananchi kukataa kuitikia kauli mbiu ya awamu ya sita kwa sababu kero hii imewakifu na wailaumu TRC na serikali kukosa kuwajali na wananchi wananyanyasika katika nchi hii huru ya Tanzania.