RC Arusha Aponea Tundu la Sindano!

RC Arusha Aponea Tundu la Sindano!

Jamaa ni taahira ila Jk hawezi tofautisha wenye akili timamu na mataahira kama huyu na akina mwingulu.
 

Magesa mwenyewe akiiona hii post yako atajua unampaka mafuta kwa mgongo wa chupa.

hakuna ofisi hata moja inayotaka kufanya kazi ya na uyu magesa, muda sio mrefu atarudishwa huko Pwani.

Daud Mchambuzi;
Nikushukuru sana kwa kuvaa viatu vyangu na vimekuenea kabisa! Haya majibu yako kwanza si ya hasira lakini pili yamejaa ukweli na tatu umetoa na elimu pia'

Kuna baadhi ya watu wapi kazini wao ni kutetea tu lakini kumbe wakati mwingine wanaharibu mpaka yule anayetetewa anahisi anapakwa mafuta kwa mgongo wa chupa na hapo ndipo jibu lako liliponigusa
 
kumbe swala lenyewe la kutunga umbea wa nini sasa humu lete kitu chenye ukweli.
 
Daud Mchambuzi;
Nikushukuru sana kwa kuvaa viatu vyangu na vimekuenea kabisa! Haya majibu yako kwanza si ya hasira lakini pili yamejaa ukweli na tatu umetoa na elimu pia'

Kuna baadhi ya watu wapi kazini wao ni kutetea tu lakini kumbe wakati mwingine wanaharibu mpaka yule anayetetewa anahisi anapakwa mafuta kwa mgongo wa chupa na hapo ndipo jibu lako liliponigusa

magesa anawanyima usingizi kwa kusimamia taratibu.
 
kama hata migogoro ya wanafunzi kama wa Ilboru sekondari,IAA inamshinda kutatua ataweza ataweza ya jiji la Arusha? ng'oka 2 baba wameshakuchoka ucje uawa bure
 
ninawatakia kila la heri katika huo mkakati wenu , malipo ni hapahapa .
 
We shondola toa chuki zako binafsi na unafiki hapa jamvini. Ni wivu tu unakusumbua na watu wenye wivu huwa mnaishia kulalamika. Inaonekana uko hapo osifini kwa rc na unakerwa na jamaa kukalia hicho kiti. Utakufa masikini wewe kwa roho yako mbaya, toa shida zako na njaa zako hapa.

Kaka magesa tuko pamoja bwana, piga kazi watu wa arusha tuko nyuma yako. Wacha wenye wivu wajinyonge sisi tunakukubali.
huna uarusha wowote we ---- tu!
 
Ile message kwa Lema ingemrudi... ameruka kihuzi hiki...
 
House boy wa JK anapopata changamoto katika utendaji kazi wake. Hasa anapokuwa kiherehere katika kazi.
 
Ingawa RC Arusha amethibitika kuwa na kasoro kubwa, andiko hili linathibitisha ukweli kwamba muandikaji binafsi kaguswa sana na tabia ya RC.
 
Usisifie ujinga kisa t unayemwongelea ni rc, huyu atabaki kuwa ----- tu hata kama ni mlipaji kisasi, ndo tabia aliyenayo bosi wake jk.
 
basi haya kazi ipo mwaka huu, mpaka mwaka huu uishe tutaona mengi
 
Huyu jamaa Mulongo si aliwahi kuwa house boy pale namba 10 Downing Street ya Bongo...
 
Kuna tetesi zinazoendelea kuwa yeye na mkuu wake wa wilaya watahamishwa hapa Arusha,sijui watawapeleka wapi hawa majamaa,milipuko miwili(olasiti na soweto)zitawtoa Arusha!Hili la rushwa pia halitambakiza,ataondoka kwa aibu hapa Arusha asipoangalia.
 
Katika hali ya kudhihirisha namna Bwana huyo alivyo mnyama na asivyokuwa na ushirikiano na viongozi wenzie, hivi majunzi Bwana Magesa Mulongo aliandaliwa janga ambalo asingeweza kusahau maishani mwake.

Magesa Mulongo alikuwa aingie mikononi mwa TAKUKURU bila chenga na mikakati yote ilikuwa imeshakamilika na aliyekuwa anafanya mikakati yote hii ni Kiongozi mwenzie mwandamizi, jasiri, na mwenye uwezo wa kuthubutu na asiyeyumbishwa na hila, fitna na kiherehere cha Magesa.

Jiji hutoa vibali vya tenda kwa watu mbali mbali wanaoomba tenda hizo; sasa kuna swala la mabango ambapo kuna mtu aliomba na akapewa cha kusikitisha mtu mwingine akatumia mgongo wa Magesa akimshawishi kwa Mlungula na jamaa alivyo na tamaa akaingia kingi na kutaka kuanza kuyumbisha maamuzi yaliyokwisha tolewa ama kufikiwa na vikao husika.

Hapo ndipo huyu mwanamama alipoamua kuingia kazini na kumtumia Magesa ujumbe kupitia wapambe wake kwamba kama alizoea hiyo tabia kwa wengine yeye hayuko hivyo na waheshimiane kila mtu kwa nafasi yake. Magesa amweshimu sana RSO aliyenyaka habari hizi mapema na kuamua kumkimbilia huyu mwanamama na kumwomba radhi ili aachane kabisa na mpango aliokuwa nao wa kuhakikisha Magesa ananyakwa na vijana wa Dr. Hoseah hapo ndipo mwanamama huyu alipolegeza makali yake under conditions kwamba Magesa aonywe na ache tabia zake zisizo na kichwa wala miguu na amkome kabisa.

Ndgu Mulongo ujumbe wangu ni huu kumbuka ulivyomtesa na kumsumbua sana aliyekuwa Ag. Director hapo Arusha Bwana Mkombole ulivyo na roho mbaya na usivyojua kufuata taratibu ukataka asipewe na Ukurugenzi bila kujua dogo ni homeboy wa Hawa Ghasia ndo mana Hawa alikuwa akija Arusha kwenye mambo ya Itifaki wewe ulikuwa unapigwa benchi na anapokelewa Mkombole wewe unapewa taarifa dogo akakutunishia -misuli mbaya kabisa na sasa hivi ni Mkurugenzi Babati. Bado ukashawishi Madiwani wamwandalie ajali Madiwani wakakugeuka kwa kuona jinsi akili yako ilivyofupi.

Leo hii tena unataka kuendeleza uzindaki wako aiseee mi nadhani kama JK alikupatia Job description embu rejea ukaisome au jikumbushe maneno aliyokuwa anakuambia wakati akikutengenezea tai ulipokuwa unaapishwa Ikulu manake utagharamika na sasa hivi mpaka ma'DC hawataki kabisa kukusikia na wanajua utakapoangukia muda si mrefu. Arusha utaondoka ila isiwe kwa aibu za namna hii. Tunajua lile Shamba lako la Ilboru ulilonunua zaidi ya Milioni 60 na mengine mengi siku zinahesabika.-

Acha mbwembwe na dharau sisi tulifikiri ni wananchi tu kumbe mpaka Viongozi wenzio waandamizi halafu huwa unakera sana pale unaposema vyanzo vyako vimekuambia a, b, c, d mbona kwenye hili vyanzo vyako havikukupa ushirikiano. Ukrya kwenu hapa kazi tu....... ........

Mama tunakupongeza sana yani mno; mfunze huyu adabu ajue umetoka mbali na hufanyi kazi kufurahisha mtu bali uwezo wako uheshimike iwe tunu kwa Taifa na familia yako.

Peleka hizi riwaya kwenye vijiwe vya chama chenu mkijifurahisha na kujitakia mapumziko ya mashaka.
 
Kuna tetesi zinazoendelea kuwa yeye na mkuu wake wa wilaya watahamishwa hapa Arusha,sijui watawapeleka wapi hawa majamaa,milipuko miwili(olasiti na soweto)zitawtoa Arusha!Hili la rushwa pia halitambakiza,ataondoka kwa aibu hapa Arusha asipoangalia.
lile ni jembe haliwezi kuondolewa hata mumpakazie vipi, mpaka wezi wote pesa za umma awamalize hapo arusha kujilipua mjilipue wenyewe kisha aondolewe Maggese?

 
huyu jamaa alipokuwa bagamoyo alikuwa mtu wa milungula balaa,amekula sana rushwa katika halmashauri ya bagamoyo,yeye anaomba rushwa kibabe kwa mkwara wa kukuharibia kazi,wizi wa bagamoyo wa mwaka 2009/2010 alimlazimisha mweka hazina ampe milioni 20 lakini mweka hazina akamwambia wanazo milioni saba ndipo jamaa alihakikisha hadi anawekwa ndani..ni mwizi tu huyu mbulula.
Duh.... aisee, kumbe jamaa hulka yake na vitendo sawa!
 
We shondola toa chuki zako binafsi na unafiki hapa jamvini. Ni wivu tu unakusumbua na watu wenye wivu huwa mnaishia kulalamika. Inaonekana uko hapo osifini kwa rc na unakerwa na jamaa kukalia hicho kiti. Utakufa masikini wewe kwa roho yako mbaya, toa shida zako na njaa zako hapa.

Kaka magesa tuko pamoja bwana, piga kazi watu wa arusha tuko nyuma yako. Wacha wenye wivu wajinyonge sisi tunakukubali.
shida ya mashaitwan wa kijani ni kulindana kama kunguru wa kihindi! Kelele nyiingi vaaa vaaa! Mene mene tekel uparasin!
 
Back
Top Bottom