RC Arusha Aponea Tundu la Sindano!

RC Arusha Aponea Tundu la Sindano!

Hamjui sipora liana huyo mulongo?aende kumuuliza badweli na wenzake. Huyo mama ana misimamo kuliko mwanaume.unakumbukwa na wana mkuranga sana mama.ipeleke arusha mbele na watajua nini unafanya.
 
Hivi yeye na Mulongo ni ndugu maana akili zako bila Shaka kuna fuse moja imekatika.
 
lile ni jembe haliwezi kuondolewa hata mumpakazie vipi, mpaka wezi wote pesa za umma awamalize hapo arusha kujilipua mjilipue wenyewe kisha aondolewe Maggese?


hao waliojilipua wenyewe na kuua raia halali wa nchi hii mbona hawakamatwi na state apparatus zetu?chekecha ubongo wako kidogo mkuu kwasababu bado una mawenge.
 
kesi ya mamba unapeleka kwa kenge, sisi mijusi yetu macho, yaani kikwete amwajibishe mulongo, hujui JK ndiye aliyemteua na kumpandisha fasta fasta kufikia huo uRC???
 
lile ni jembe haliwezi kuondolewa hata mumpakazie vipi, mpaka wezi wote pesa za umma awamalize hapo arusha kujilipua mjilipue wenyewe kisha aondolewe Maggese?


Nakushangaa unapotetea uovu. Kwa kauli hiyo hata kanisani waumini walijilipua wenywe? Amka watanzania wa leo siyo wale wa zamani kila kitu kiko wazi. Siri zenu ziko nje kama anayejificha kwenye shamba la karanga.
 
Huyu RC busara zake nadhani ziko mbali sana au uongozi wa mkoa ni viatu vikubwa sana kwake..!
 
Nakushangaa unapotetea uovu. Kwa kauli hiyo hata kanisani waumini walijilipua wenywe? Amka watanzania wa leo siyo wale wa zamani kila kitu kiko wazi. Siri zenu ziko nje kama anayejificha kwenye shamba la karanga.
mbowe ana ushahidi mwambieni aonyeshe au aupeleke kwenye vyombo vya kimataifa, mbona haonyeshi ushahidi aliousema?
 
Waarusha wanasema.........NA MBADO..........

Aondoke Mulongo alafu iweje ? kama anawakera si muondoke nyie.

Na JK ukimuondoa Mulongo Arusha imekwisha.
 
Shule niliosoma waliokuwa wanawania nafasi za uongozi wa mabweni walikua vilaza na informers wa walimu. Kama tabia hii iko katika shule zote za basi ni dhahiri Magesa yuko kwenye category hiyo kwani alikua kiongozi wa Bweni shule ya Secondary
 
Akiondoka Mulongo anaingia Mwigulu sasa sijui mtaponea wapi.
 
We shondola toa chuki zako binafsi na unafiki hapa jamvini. Ni wivu tu unakusumbua na watu wenye wivu huwa mnaishia kulalamika. Inaonekana uko hapo osifini kwa rc na unakerwa na jamaa kukalia hicho kiti. Utakufa masikini wewe kwa roho yako mbaya, toa shida zako na njaa zako hapa.

Kaka magesa tuko pamoja bwana, piga kazi watu wa arusha tuko nyuma yako. Wacha wenye wivu wajinyonge sisi tunakukubali.

Kumbe hujaacha tabia kama za dada yako.
 
Mama Sipora ni Mlokole mwenzangu, hapendi mambo ya hela za dili mbali na kipato halali!
Kwa tabia za ubabe za Magesa ni wazi hawezi kukaa na Mkurugenzi wa Jiji!
 
Mulongo hajui kutofautisha Chuga na Bwagamoyo, na bado tutamvizia na kumpa kichapo mpaka atajuta
 
Hosea na watu wake wasingethubutu kuchukua hatua yoyote. wanalindana hawa watu wa CCM.

Kama haya maneno ni ya kweli hata kama Takukuru hawatachukua hatua hii ni aibu ya kutosha kumfanya mtu wajibike.
 
You might be GM!
Ila tatizo huyu jamaa kachokwa
Na kila mtu aliyemsaidia ni RSO; Hoseah was ready! Mulongo bana utadhani ndiye anayemtawaza JK

Hosea ni ngao ya kuwakinga wakubwa dhidi ya tuhuma za rushwa, hawezi kumwajibisha MTEULE mwenzie..
 
Back
Top Bottom