Chukwu emeka
JF-Expert Member
- Jan 12, 2018
- 23,413
- 36,573
Hata watu wanaohangaika kuwafuatilia hawa wajinga ni wajinga sikwea......inakuwaje mtu mwenye akili timamu unahaha na kuhangaika na hivi vijamaa balehe zinawasumbua
I understand,
Hata hivyo kanuni za kulinganisha ziko simpo... Huwezi kulinganisha watu ktk mazingira tofauti...
Ungekuwa mjanja ungenipa ulinganifu wa Harmonize na Rayvanny wakiwa wote chini ya lebo moja.
Pale ndio ukwel ulipo.
kweli mna mmakonde kakuvurugaMzee vip mbona kama umepaniki hivi?
Rayvanny kashinda tuzo ya BET wakiwa wote wapo Wcb na alikuwa bado anaongoza kuwa na mauzo yake ya music wote wakiwa wote wapo hapo hapo.I understand,
Hata hivyo kanuni za kulinganisha ziko simpo... Huwezi kulinganisha watu ktk mazingira tofauti...
Ungekuwa mjanja ungenipa ulinganifu wa Harmonize na Rayvanny wakiwa wote chini ya lebo moja.
Pale ndio ukwel ulipo.
Kwani Hili ni bifu la Rayvanny vs Harmonize au Wcb vs Harmonize ebu nieleweshe ninashindwa kuelewa? au Wcb inayomaanishwa hapo ni ipi?Ray kaanza media tour kama Zari baada ya UA jeusi!!!yaani kaaazi mnayo!wasafi kaaah!
Mzee baba mbona kama inaonesha unachembechembe za uteamkweli mna mmakonde kakuvuruga
yaani kusalimiwa hutaki?
Nimekupa salamu sasa umeongeza na hii pia?Mzee baba mbona kama inaonesha unachembechembe za uteam😃😃
What goes around comes around, dogo issue yake ya kwanza Chinga alikesha polisi akidai mwanafunzi anaharibiwa future yake sasa naye kateleza kamuonyesha huyo huyo 'mwanafunzi' utupu wake kwa njia ya mtandao kumbe mtoto wa kike kaalika familia nzima kuona sausage na korodani zake hapo mwenzie akatumia fursa yaani akuanzaye mmalize. Sijui yeye kwa kuonyesha utupu alikuwa anamsaidia mwanafunzi somo la biology au alikuwa na lengo lipi.Kwa iyo mdau mmakonde kafanya kipi kibaya mpaka van kuvujisha picha zake za utupu.....iyo kupelekwa polisi ama na mbona kesi yenyewe iliisha juu kwa juu...
Ukikaa chini na kutafakari utaona kabisa nani ni mbaya kwa mwenzie
Ushindi wa Kondeboy uko wapi? Au unacomment kishabiki tuTembo 5- Chui 0,
Na bado mtafanya interviews hadi BBC,
Kwani wewe ni Baba Levo au Juma Lokole? Mbona kama waumizwa sana?Ushindi wa kondeboy uko wapi? au unacomment kishabiki tu
Tembo 6- Chui 0,Ushindi wa kondeboy uko wapi? au unacomment kishabiki tu
Shule za sekondari likizo ya pasaka mbona kama imeisha mnatokea wapi?Oyaa wahuni sema nini vanny anakojolea pazuri au mnasemaje ?