Diamond wakati anatoa my number one,Raymond Alikuwa Nzovwe huku anashinda video library, leo useme ndo anampa Melody Diamond,..... HIVI NI CHUKI TU AU KUNA KINGINEDaaaah!!! nimeisikiliza kwa mara pili sasa,kama dogo haandikiwi mashairi basi hakika Rayvanny anajua kila kiti,utunzi ,melody,kucheza,vimaringo flani hv a.k.a manjonjo...huyu ndo kichwa kuliko wote pale WCB...naskia melody zooote za Mondi dogo ndo anampaga,mpaka melody ya Shetta namjua ni dogo ndo kampa
huyu chalii anatokea mbeya?Diamond wakati anatoa my number one,Raymond Alikuwa Nzovwe huku anashinda video library, leo useme ndo anampa Melody Diamond,..... HIVI NI CHUKI TU AU KUNA KINGINE
Yap,ni Mbeya boy,alitokea fiesta kama sikosei ktk shindano lao mojahuyu chalii anatokea mbeya?
Diamond wakati anatoa my number one,Raymond Alikuwa Nzovwe huku anashinda video library, leo useme ndo anampa Melody Diamond,..... HIVI NI CHUKI TU AU KUNA KINGINE
Una miaka mingapi????Hahahah...Huyu dogo fala sana...Ile Yoooooo ya kiba mbona kaikosea...Vipi team Kiba wenzangu...Tulianzishe nini!!!!?
teh sijausikiliza bado, ila kwa kuwa tuna taste moja, basi na me naamini ntaupenda pia.
Dogo amewahi kuwa mshindi wa freestyle battle Tanzania..Naamini ni mzuri kwenye mashairi..Atakuwa anaandika mwenyeweWimbo ni mzuri.
Dogo naona ana kipaji cha kutunga mashairi [kama kayaandika yeye].
Lakini, hii taja taja ya majina inaanza kuboa sasa.
Hivi wamekosa kabisa ubunifu mwingine zaidi ya kutaja majina yaleyale?