Si wimbo wa mimina jamani🙄Em Tupe kionjo Ili tujue tunajadili nn
Wana mimina nn? 😎Si wimbo wa mimina jamani🙄
Baraka jamani we husali kwani?Wana mimina nn? 😎
Ngoja nimfundishe umuhimu wa dini huyu kijana, nyeto ishamuathiri!mpagani huyo
Achana na mambo ya nyeto, leo J2 inatupasa kuenenda vile inampendeza Sir God 😎Ngoja nimfundishe umuhimu wa dini huyu kijana, nyeto ishamuathiri!
Tawire 🤝Baraka jamani we husali kwani?
Hapo tunaongea sasa! Haya malizia na mstari wa siku!Achana na mambo ya nyeto, leo J2 inatupasa kuenenda vile inampendeza Sir God 😎
Si wimbo wa mimina jamani🙄
Hahha mimi niko kwenye praise team! Huo wa mimina unavutia sana ukiwa ukumbini! Siku nikikubalika sehemu ntakualika shem ucheze hizo mbili😁Kwakweli Mimina imekaa mahala pale na kuwarudisha wakatoliki kwenye enzi zao.
Maana miaka ya karibuni kwenye Kwaya SDA ndio wameongoza kwa kutoa nyimbo nzur.
- Kishindo cha wakoma
- Nyimbo za Zabron Singers
Au unaonaje Shem wangu kabisa Seran . Hebu ongezea maana ww ni katekista
Hahha mimi niko kwenye praise team! Huo wa mimina unavutia sana ukiwa ukumbini! Siku nikikubalika sehemu ntakualika shem ucheze hizo mbili😁
Amen 🙏🏽 Amen 🙏🏽 Shem darling❣️Mungu akusaidie Shem. Utakubalika zaid na zaid. Utamiminiwa baraka tele hadi ushangae.
Amein for that.
Kwani katoliki wanashindana?Kwakweli Mimina imekaa mahala pale na kuwarudisha wakatoliki kwenye enzi zao.
Maana miaka ya karibuni kwenye Kwaya SDA ndio wameongoza kwa kutoa nyimbo nzur.
- Kishindo cha wakoma
- Nyimbo za Zabron Singers
Au unaonaje Shem wangu kabisa Seran . Hebu ongezea maana ww ni katekista