Raymond - Natafuta Kiki (WCB new song)

Raymond - Natafuta Kiki (WCB new song)

Huyu ndiyo msanii sasa, Wcb wote pale huyu ndiyo huwa anawatungia mistari melody na kila kitu, safi sana Raymond, Muda si muda hao wakina mondy wataanza kukuchukia sababu unakimbiza mbaya
Kaanza lini kuwayungia melody?? Dogo hana hata mwaka WCB
 
Daaaah!!! nimeisikiliza kwa mara pili sasa,kama dogo haandikiwi mashairi basi hakika Rayvanny anajua kila kiti,utunzi ,melody,kucheza,vimaringo flani hv a.k.a manjonjo...huyu ndo kichwa kuliko wote pale WCB...naskia melody zooote za Mondi dogo ndo anampaga,mpaka melody ya Shetta namjua ni dogo ndo kampa
HUYU MTOTO NI FUNDI HATARI NA HATUNGIWI NA MTU YEYOTE YULE
 
Hahahah...Huyu dogo fala sana...Ile Yoooooo ya kiba mbona kaikosea...Vipi team Kiba wenzangu...Tulianzishe nini!!!!?
Sasa hapo ndo anapatafuta Ray mlianzishe mumpe Kiki, mkuu kuna kiki nzuri na mbaya ila zote jibu lake ni moja tu katika umaarufu
 
Kaanza lini kuwayungia melody?? Dogo hana hata mwaka WCB

Mkuu dogo harakati kaanza kitambo sana,toka yupo tip top connection,Madii kashafanya nae shoo nyingi sana,dogo alikuwa anapanda kama back vocal wa Madii..kipindi chote icho hiki kichwa kilikuwa kinawapa sana support wakina Madii,Diamond na the like...Domo alivyoona dogo ana potential ndo akaamua kumchukua moja moja kwenye WCB...
 
Mkuu nahisi uwa unasomaga comment huku ukiwa na stress za sukari au umepiga kitwanga baridi...nimesema ''nasikia dogo anamuandikiaga''...kama uelewi neno 'nasikia' linamaanisha nini ilo ni tatizo jingine.
Sasa kama unasikia unashindwa kutumia akili yako ya kawaida....
 
Hata ule wimbo wake wa kwanza "Kwetu" ni idea ya wimbo wa jamaa mmoja anaitwa Bwana mkubwa unaitwa " Sista duu kama utaka kuja home" ulitoka miaka ya 2000s
Dah ebwanaeeeh na kweli naikumbuka iyo ngoma
 
Kijana kutoka WCB maarufu kama Raymond ameachia kichupa kimoja hivi kinaenda kwa jina la ''natafuta kiki'', ameeleweka vilivyo, hadi sauti ile''yooooooohh'' ya Kiba imesikika.... sio ya kukosa. Naona WCB wanazidi kuwa gumzo mjini hapa.
Kichupa? Are you okee?
 
to be honest hii nyimbo sio kali sema watu wamependa majina kutajwa mule ndani. beat sio nzuri, melody sio nzuri ila kajitahidi kidogo kuandika
 
kiukweli kabi
Daaaah!!! nimeisikiliza kwa mara pili sasa,kama dogo haandikiwi mashairi basi hakika Rayvanny anajua kila kiti,utunzi ,melody,kucheza,vimaringo flani hv a.k.a manjonjo...huyu ndo kichwa kuliko wote pale WCB...naskia melody zooote za Mondi dogo ndo anampaga,mpaka melody ya Shetta namjua ni dogo ndo kampa
dogo unajua sana na kinachomsaidia anachana sana sema soko la hip-hop kibongo ndo hivo akaamua aimbe.
 
Back
Top Bottom