Culture Me
JF-Expert Member
- May 24, 2017
- 10,494
- 21,453
Naam.Kwani chuchu ndio mozaa ake
Naam.Kwani chuchu ndio mozaa ake
Ndio! Maana uyo mtt n mdogo sn, haikubaliki kiafya pia kiimani, better iyo choice aifanye yy mwny akiwa kashajitambua. Cz km wazaz ni watu wasiofuata dini haimanish kama mtoto pia atakuwa hivoCouldn't agree more mkuu
Uko sahihi mkuuNdio! Maana uyo mtt n mdogo sn, haikubaliki kiafya pia kiimani, better iyo choice aifanye yy mwny akiwa kashajitambua. Cz km wazaz ni watu wasiofuata dini haimanish kama mtoto pia atakuwa hivo
Hapana Mkuu, Wabongo wanaongea sana na kuzusha vitu vya uongo.Kumbe jamaa anamtoto nilisikiaga kuwa ray ni mchicha poli
Nawataka radhi wanaume wachache wa Dsm.Hapo unageneralize sana mkuu
Hahaha, kumnywea chai kiaje mkuu?katoto kazuri hadi unaweza mnywea chai wallahi
MashallahMtoto mzuri sana
Za sumaku?Ile hereni ukiyaangalia vizuri sio zile za kutoboa sikio ni za kupachika, hebu chunguza vizuri
N kweli mkuuHapana Mkuu, Wabongo wanaongea sana na kuzusha vitu vya uongo.
Hata ikitokea tu mtangazaji wa kiume mtanashati sana au muigizaji utasikia anaanza kusingiziwa uongo. Mara shoga sijui nini. Wabongo bana ...dah.
Shukran mkuuNawataka radhi wanaume wachache wa Dsm.
unakaweka tu juu ya meza, we unaendelea kugonga chai yako ya mkono mmoja huku ukimtizama, ukitoka hapo umeshiba kama vile umekunywa chai na kiporoHahaha, kumnywea chai kiaje mkuu?
Chuchu huyu huyu chuchu ama chuchu mwingineeeee mkuuuNaam.
Hahaha Chuchu Hans bhanaa.... huyo huyo kwani hujui kama ni mke wake?Chuchu huyu huyu chuchu ama chuchu mwingineeeee mkuuu
Aiseee, huyu huyuuuuuHahaha Chuchu Hans bhanaa.... huyo huyo kwani hujui kama ni mke wake?
wow! adorable lil angel...
Ila sijapenda walivyokapaka bleech, he is too young jamani daah!!
Ila hongereni sana Chuchu na Ray kwa kuleta handsome boy.