GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 63,059
- 126,642
Sema kama haijakaa poa mtoto wa kiume kumvalisha hereni..View attachment 681889
Angalau Yeye Mtoto wake huyu hata DNA zetu tu za machoni zinasema hakika lilikuwa ni ' goli ' lake la ' Kibaiolojia ' tofauti na Wasanii au Watu wengine maarufu ambao kiukweli 99.9% wanalea ' mabao ' ya wengine japo Wao wanadhani na wanajitutumua kwamba ni wao.