Ray Kigosi akiwa na mwanae Jayden!

Ray Kigosi akiwa na mwanae Jayden!

Mkuu mimi sina tatizo na yeye na mwanae ila nimeona tu kama haijakaa vyema mtoto wa kiume mdogo akaanza kuvishwa hereni maana mwana umleavyo ndivyo akuavyo.
Kweli haijakaa vyema maana huyu mtoto hatujui ukubwani atakuwa na hobi gani. Akiwa mwanasiasa halafu watu wakamchafua kwa kuweka picha alizovishwa hereni lazima atachukia au hata akimtumikia Mungu.
 
Screenshot_2018-01-23-18-17-44-1.png
 
Mtoto ni mzuri sana hongera zake lakini Amekosea swala la hereni,Kama amemtoboa tena ndio zaidi.Nilikuwa nampenda sana mwanangu wa kuime zamani alipokuwa mdogo,nikaamua atapendeza akivaa hereni moja,niliongea na mamaake akasema sawa atapendeza tumpeleke akatobolewe sikio,alikuwa na miaka kama ni mingi mi4 huo ni mwaka 98,tulivyofika kwa sonara akatufanya tughairi jambo lile.Alituuliza je mwenyewe kakubali?tukamwambia hapana hajui uzuri wake so sisi tumeamua.Akasema ingependeza mngemuacha hadi akue aje aamue mwenyewe,akatuambia kuwa inawezekana akikua akachukizwa sana na jambo lile na atakuwa tayari sikio limetobolewa basi tukaacha,he is now 21 lakini hajatoboa sikio na wala sidhani kama anampango huo.Mambo mengine tunawaamulia watoto wanapokuwa wadogo sio vizuri.
 
Wamasai wanasuka na kuvaa hereni, mbona hawaitwi mchicha pori?!
Mapambo tu hayo, acheni kutafsiri vibaya kila pambo kwa mwanaume..
 
Mtoto ni mzuri sana hongera zake lakini Amekosea swala la hereni,Kama amemtoboa tena ndio zaidi.Nilikuwa nampenda sana mwanangu wa kuime zamani alipokuwa mdogo,nikaamua atapendeza akivaa hereni moja,niliongea na mamaake akasema sawa atapendeza tumpeleke akatobolewe sikio,alikuwa na miaka kama ni mingi mi4 huo ni mwaka 98,tulivyofika kwa sonara akatufanya tughairi jambo lile.Alituuliza je mwenyewe kakubali?tukamwambia hapana hajui uzuri wake so sisi tumeamua.Akasema ingependeza mngemuacha hadi akue aje aamue mwenyewe,akatuambia kuwa inawezekana akikua akachukizwa sana na jambo lile na atakuwa tayari sikio limetobolewa basi tukaacha,he is now 21 lakini hajatoboa sikio na wala sidhani kama anampango huo.Mambo mengine tunawaamulia watoto wanapokuwa wadogo sio vizuri.
Umeongea kitu sahihi sana mkuu
 
Kizuri kimalaika hiki kazuri acheni maisha ya watu mzae wako mfanye unavyotaka .
 
Back
Top Bottom