Ray C ampokea Yesu na kubatizwa

Jamani,
Mbona watanzania tunakua tuna roho mbaya? Mwenzetu kaamua kumpokea Yesu kua bwana na mwokozi wa maisha yake badala ya kumsifu tunaanza kukashifu. Si vyema kumwongelea mtu vibaya kutokana na uamuzi mkubwa kama huu aliouchukua wakupiga hatua kubwa katika maisha yake. Amepitia katika kipindi kigumu na kwasasa amepata pumziko la ukweli katika Yesu kristo kwaio anahitaji pongezi za dhati na pia msaada wa kiroho ili aweze kusimama katika imani yake. Wewe unaemkashifu je, uko safi? Y'all shouldn't cast stones on her. Mwisho kabisa nasema YeYe ajidhanie amesimama aangalie asianguke.
 
Asilimia kubwa ya wagonjwa akili niliowaatend mnh walisema ni waumini wa siloamu church
 
Jamani mnakoelekea sio pazuri. Msikashifiane kuhusu imani. Tushindane kwa hoja za msingi :confused:

Sasa hawa wenzetu hoja za msingi hawana!
Woote hawa kuanzia wachungaji mpaka wanakondoo!
silaha zao ni matusi tu!
Sisi tunawaonyesha vitu kwa ushahidi!
Wakishaona hawana pa kutokea! Wanaanza matusi na kashfa!

Mfano! Wao wanasema yesu ni mungu!

HEBU TIZAMA BIBLIA INASEMA NINI KUHUSU KAULI HIO!!

JE! YESU ALIKUJA MWENYWEWE? Au ALITUMWA!!

:YOHANA 5:24-----"Kweli nawaambieni, anayesikia neno langu, na kumwamini yule-ALIYENITUMA anao uzima wa milele. Hatahukumiwa kamwe, bali amekwisha pita kutoka kifo na kuingia katika uzima.

YOHANA 5:30- - -"Mimi siwezi kufanya kitu kwa uwezo wangu mwenyewe. Mimi nina hukumu kama-ninavyosikia kutoka kwa Baba, nayo hukumu yangu ni ya haki. Nia yangu si kufanya nipendavyo mwenyewe, bali apendavyo yule-ALIYENTUMA!-

YOHANA 5:36- - -Lakini mimi nina ushahidi juu yangu ambao ni mkuu zaidi kuliko ule wa Yohane. Kwa maana kazi ninazofanya, kazi alizonipa Baba nizifanye, ndizo zinazonishuhudia kwamba Baba ndiye ALIYENITUMA

.--YOHANA 5:37- - -Naye Baba-ALIYENITUMA-hunishuhudia. Ninyi hamjapata kamwe kusikia sauti yake, wala kuuona uso wake.

-------

YOHANA 7:16- - -Hapo Yesu akawajibu, "Mafundisho ninayofundisha si yangu, bali ni yake yeye ALIYENITUMA

YOHANA 7:28- - -Basi, Yesu alipokuwa anafundisha Hekaluni alipaaza sauti na kusema, "Ati mnanijua; hata nilikotoka mnakujua! Hata hivyo, sikuja kwa mamlaka yangu mwenyewe; ila yeye-aliyenituma-mimi ni wa kweli, nanyi hamumjui.

YOHANA 7:29- - -Lakini mimi namjua kwa sababu nimetoka kwake, naye ndiye-ALIYENITUMA

YOHANA 7:33- - -Yesu akasema, "Bado niko nanyi kwa muda mfupi, kisha nitamwendea yule ALIYENITUMA

-------

YOHANA 8:16- - -Hata nikihukumu, hukumu yangu ni ya haki kwa sababu mimi siko peke yangu; Baba-ALIYENITUMA-yuko pamoja nami.

YOHANA 8:18- - -Mimi najishuhudia mwenyewe, naye Baba-ALIYENITUMA ananishuhudia pia."

YOHANA 8:26- - -Ninayo mengi ya kusema na kuhukumu juu yenu. Lakini yule-ALIYENITUMA-ni kweli; nami nauambia ulimwengu mambo yale tu niliyoyasikia kutoka kwake."

YOHANA 8:29- - -Yule ALIYENITUMA -yuko pamoja nami; yeye hakuniacha peke yangu kwani nafanya daima yale yanayompendeza."

-------

YOHANA 6:38- - -kwani nimeshuka kutoka mbinguni si kwa ajili ya kufanya matakwa yangu, ila kutimiza matakwa ya yule-ALIYENITUMA!

YOHANA 6:39- - -Na matakwa ya yule-ALIYENITUMA-ndiyo haya: nisimpoteze hata mmoja kati ya wale alionipa, ila niwafufue wote Siku ya mwisho.

-------

YOHANA 12:44- --Kisha Yesu akasema kwa sauti kubwa, "Mtu aliyeniamini, haniamini mimi tu, ila anamwamini pia yule-ALIYENITUMA

YOHANA 12:49- --Mimi sikunena kwa mamlaka yangu mwenyewe, ila Baba-ALIYENITUMA-ndiye aliyeniamuru niseme nini na niongee nini.

-------

MATAYO 10:40- -"Anayewakaribisha ninyi, ananikaribisha mimi; na anayenikaribisha mimi, anamkaribisha yule-ALIYENITUMA

-------

MARKO 9:37- - - -"Anayempokea mtoto-kama-huyu kwa jina langu, ananipokea mimi; na anayenipokea mimi, hanipokei mimi tu, bali anampokea yule-ALIYENITUMA

-------

LUKA 9:48--akawaambia, "Mtu yeyote anayempokea mtoto huyu mdogo kwa jina langu, ananipokea mimi; na yeyote anayenipokea mimi, anampokea yule ALIYENITUMA Maana yule aliye mdogo kuliko wote kati yenu ndiye aliye mkubwa kuliko wote."

-------

LUKA 10:16- - - --Halafu akasema, "Anayewasikiliza ninyi, ananisikiliza mimi; na anayekataa kuwapokea ninyi, anakataa kunipokea mimi. Yeyote anayekataa kunipokea, anakataa kumpokea yule-ALIYENITUMA!

-------

YOHANA 4:34- - -Yesu akawaambia, "Chakula changu ni kufanya anachotaka yule-ALIYENITUMA-na kuitimiza kazi yake.

-------

YOHANA 9:4- - - -Kukiwa bado mchana yatupasa kuendelea kufanya kazi za yule ALIYENITUMA maana usiku unakuja ambapo mtu hawezi kufanya kazi.

-------

YOHANA 13:20- --Kweli nawaambieni anayempokea yule ninayemtuma anaponipokea mimi; na anayenipokea mimi, anampokea yule ALIYENITUMA.

-------

YOHANA 14:24- --Asiyenipenda hashiki maneno yangu. Na neno mlilosikia si langu, bali ni-lake BABA ALIYENITUMA.

-------

YOHANA 15:21- --Lakini hayo yote watawatendeeni ninyi kwa sababu ya jina langu, kwani hawamjui yeye-ALIYENITUMA

-------

YOHANA 16:5- - -Lakini sasa namwendea yule ALIYENITUMA na hakuna hata mmoja wenu anayeniuliza: `Unakwenda wapi?`


Sasa we angalia hapa! Ndio utaona ni nani kati ya sisi waislamu na hao wanaosema wanamfuata yesu,
Ni NANI ANAJENGA HOJA! na NI NANI ANAETOA KASHFA!?

CC Izz Nonda Ritz Ally Kombo Kikwajuni one life is Short tansoma Eiyer Aswad Band
 
Last edited by a moderator:
Linatoa hata..??????
Hebu nifafanulie, toka lini mungu akatumwa??

Kwa hiyo Mungu alizaa?. Maeneo mengi ya hivyohivyo vipengele vyako,Yesu anamuita Mungu BABA! Haushangai hilo hata?. Usipoijua Bible utashindwa kuelewa hata unachotamka mwenyewe mdomoni kwako,cha muhimu waachie wenye kitabu chao nawe jitahidi crame cha kwako!
 
Kwa hiyo Mungu alizaa?. Maeneo mengi ya hivyohivyo vipengele vyako,Yesu anamuita Mungu BABA! Haushangai hilo hata?. Usipoijua Bible utashindwa kuelewa hata unachotamka mwenyewe mdomoni kwako,cha muhimu waachie wenye kitabu chao nawe jitahidi crame cha kwako!

YESU alisali mara nyingi kwa Mungu, aliyemwita Baba yake,
na pia aliwafundisha wengine kufanya hivyo. (Mathayo 6:9-11;-Luka 11:1, 2) Katika sala aliyotoa pamoja na mitume wake muda mfupi tu kabla ya kifo chake, Yesu aliomba hivi: “Baba, saa imefika; mtukuze mwana wako, ili mwana wako apate kukutukuza wewe.
Uzima wa milele ndio huu, waendelee kupata ujuzi juu yako wewe,-Mungu wa pekee wa kweli,na juu ya yule uliyemtuma, Yesu Kristo.”—Yohana 17:1,-3.

Ona kwamba Yesu anasali kwa Yule anayemwita-“Mungu wa pekee wa kweli

.”-Kisha anaonyesha cheo cha juu cha Mungu anapoendelea kusali hivi: “Kwa hiyo sasa wewe, Baba, nitukuze kando yako kwa utukufu niliokuwa nao-kando yako-kabla ya ulimwengu kuwako.” (Yohana 17:5) Kwa kuwa Yesu alisali kwa Mungu na kuomba kuwa-kando ya Mungu,-
Yesu angewezaje wakati uleule kuwa “Mungu wa pekee wa kweli”? Na tuchunguze jambo hilo.

Cheo cha Yesu Huko Mbinguni

Yesu aliuawa muda mfupi baada ya kutoa sala hiyo. Hata hivyo, hakuwa mfu kwa muda mrefu. Alikaa kaburini kuanzia Ijumaa alasiri hadi Jumapili asubuhi. (Mathayo 27:57–28:6)

Mtume Petro anasema: “Yesu huyo Mungu alimfufua, uhakika ambao sisi sote ni mashahidi.” (Matendo 2:31, 32)

Je, Yesu angeweza kujifufua?
Hapana, Biblia inasema kwamba wafu “hawajui lolote kamwe.” (Mhubiri 9:5)

“Mungu wa pekee wa kweli,” Baba wa mbinguni wa Yesu, alimfufua Mwanawe.—Matendo 2:32;-10:40.
Muda mfupi baadaye, Stefano, mwanafunzi wa Yesu aliuawa na wanyanyasaji wa kidini. Kabla hajapigwa mawe, Stefano alipata maono.
Alisema: “Tazameni! Ninaziona mbingu zimefunguka na-Mwana wa binadamu akiwa amesimama kwenye mkono wa kuume wa Mungu.”-(Matendo 7:56)

Stefano alimwona Yesu, yule-“Mwana wa binadamu,”-akimtumikia Mungu, akiwa “kwenye mkono wa kuume wa Mungu” au ‘kando ya Mungu’ kama alivyokuwa kabla ya kuja duniani.—Yohana 17:5.
Baadaye, baada ya Stefano kuuawa, Yesu alimtokea kimuujiza Sauli, aliyejulikana sana kwa jina lake la Kiroma, Paulo. (Matendo 9:3-6) Paulo alipokuwa huko Athene, Ugiriki, alizungumza kuhusu “Mungu aliyeufanya ulimwengu na vitu vyote vilivyomo.” Alisema kwamba Mungu huyo, yule “Mungu wa pekee wa kweli,” anakusudia “kuihukumu kwa uadilifu dunia inayokaliwa kupitia kwa mwanamume-ambaye amemweka rasmi, naye ametoa uhakikisho kamili kwa watu wote kwa kuwa-amemfufua-kutoka kwa wafu.” (Matendo 17:24,-31)

Mtume Paulo anamtaja Yesu kuwa “mwanamume”—naam, mwenye cheo cha chini kuliko Mungu—ambaye Mungu alimfufua akaishi mbinguni.

Ndugu, unaposema wewe ni mfuasi wa kweli wa yesu, basi huna budi kusali na kuyafanya yale aliyoyafanya na kuyaamrisha yesu!
Hakuna sehemu hata moja ktk biblia yesu anasema "mimi ni mungu mkuu basi niabuduni"
Yesu alisali kwa mungu. Na wewe unatakiwa usali kwa mungu na sio kwa yesu.
Na kufanya kinyume cha hivyo ni kutafuta adhabu za Mungu na kuukosa uzima wa milele!
Cc Eiyer MaxShimba a.k.a Ehud or Aswad Band
 
Last edited by a moderator:
mbn povu linakutoka kwani wewe ndo shetani?unajishtukia sana kama mtoa ushuzi kwenye kadamnasi kulikoni?Shetani ni Shetani tu na umeshndwa kuvumilia mjanja wenu akitajwa

Mlango 3

1-Enyi Wagalatia msio na akili, ni nani aliyewaloga,??

Na hii inakufaa wewe Muke ya muarabu.

Proverbs 27:15-16 (New Living Translation)A quarrelsome wife is as annoying as constant dripping on a rainy day. Stopping her complaints is like trying to stop the wind or trying to hold something with greased hands.

Teh teh teh teh!

Cc Eiyer
 
Last edited by a moderator:
Hata Mungu hamumjui,kazi ya kumswalia mtume tu kila uchwao..muacheni ajiswalie mwenyewe huko alipo kama kweli alitumwa na Mungu na si majini mnayoyaita ndugu zenu..eti tunakimbiliana sisi kwa sisi,sasa kule msikitini mnaendaga kufanya nin?au kucheza karate na kutengeneza mabomu?watoto wa kimasikini mna tabu sana,maana hao waarabu wenyewe waliowapa hyo dini waliwakameruni kwanza babu zenu

BIBLE SAYS;-

Proverbs 29:20 (New Living Translation)There is more hope for a fool than for someone who speaks without thinking.!!!
 
Katika sala aliyotoa pamoja na mitume wake muda mfupi tu kabla ya kifo chake, Yesu
Yesu aliuawa muda mfupi baada ya kutoa sala hiyo. Hata hivyo, hakuwa mfu kwa muda mrefu. Alikaa kaburini kuanzia Ijumaa alasiri hadi Jumapili asubuhi. (Mathayo 27:57–28:6)

Moja unajua nini maana ya "mitume wake"
Unajua ni nani ana mitume tu?
Unaamini Yesu aliuwawa?
Je unaamini kuwa biblia ni kitabu kitakatifu na ni neno la Mungu mwanzo hadi ufunuo?

Mtume Petro anasema: "Yesu huyo Mungu alimfufua, uhakika ambao sisi sote ni mashahidi." (Matendo 2:31, 32)
Mtume Paulo anamtaja Yesu kuwa "mwanamume"-naam, mwenye cheo cha chini kuliko Mungu-ambaye Mungu alimfufua akaishi mbinguni.

Cc Eiyer MaxShimba a.k.a Ehud or Aswad Band

Hawa walikuwa mitume wa nani?
Rejea amswali yangu hapo juu!
 
Moja unajua nini maana ya "mitume wake"
Unajua ni nani ana mitume tu?
Unaamini Yesu aliuwawa?
Je unaamini kuwa biblia ni kitabu kitakatifu na ni neno la Mungu mwanzo hadi ufunuo?



Hawa walikuwa mitume wa nani?
Rejea amswali yangu hapo juu!


We ni kawaida yako kuuliza maswali kedekede!
Wewe hujibu hata moja! Sasa mi kubishana na asiyejua andiko ni kupoteza muda!

Nimekuonyesha hapo juu kuwa YESU ALIKUWA MTUME! NA ALITUMWA NA MUNGU!!
Halafu unaniuliza maswali kama mtoto mdogo! Unadhani huu ubishi wako ndio utakao kuingiza kwenye ufalme wa mungu??

We kaa hivyohivyo! Lkn ukweli utabaki pale pale.
Unataka kupinga mpaka andiko unalojidai kulifuata!!
 
Kama utawala wa shetani ni kukubali andiko la biblia na kukubali ukweli!
Basi sioni kama kuna ubaya wowote kuufuata!
Haleluyah!
 
We ni kawaida yako kuuliza maswali kedekede!
Wewe hujibu hata moja!

Umeniuliza swali gani?
Sasa mi kubishana na asiyejua andiko ni kupoteza muda!

Nani amekutuma uni-mention?

Nimekuonyesha hapo juu kuwa YESU ALIKUWA MTUME! NA ALITUMWA NA MUNGU!!
Halafu unaniuliza maswali kama mtoto mdogo! Unadhani huu ubishi wako ndio utakao kuingiza kwenye ufalme wa mungu??

Angalia hapa chini ulichoandika na nilichokuuliza:
Katika sala aliyotoa pamoja na mitume wake muda mfupi tu kabla ya kifo chake, Yesu aliomba hivi:

Hapa ulikua unamzungumzia Yesu?


Mtume Petro anasema: "Yesu huyo Mungu alimfufua, uhakika ambao sisi sote ni mashahidi." (Matendo 2:31, 32)

Huyu nae ni Yesu?

Mtume Paulo anamtaja Yesu kuwa "mwanamume"-naam, mwenye cheo cha chini kuliko Mungu-ambaye Mungu alimfufua akaishi mbinguni.

Huyu hapa nae ni Yesu?

Ukiambiwa wewe ni kilaza unakataa

Hebu jibu maswali yangu haya:
Moja unajua nini maana ya "mitume wake"
Unajua ni nani ana mitume tu?
Unaamini Yesu aliuwawa?
Je unaamini kuwa biblia ni kitabu kitakatifu na ni neno la Mungu mwanzo hadi ufunuo?



Hawa walikuwa mitume wa nani?
Rejea amswali yangu hapo juu!
 
Ndiyo maana mnafurama wakati wa kuswali na kanzu zenu mnainamiana, halafu ukijamba eti sala imeharibika unaenda kunawa unaanza tena. Mungu anasikiza harufu au anasikiliza sala zako. Mwachekesha kwelikweli hamjijui tu kwakweli. lol!
 
kwa kweli Mungu amsimamie, maana kukiri tu sio ishu bali ni kushika neno na kulifanyia kazi ndio kubwa,hongera bi dada tunazidi kukuombea
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom