BARD AI
JF-Expert Member
- Jul 24, 2018
- 3,376
- 8,118
Kutoka Kwenye Ukurasa wa Instagram Wa Msanii @rayvanny Kuhusu Tuzo Za "TMA" Baada Ya kutangaza Vipengele
"TMA Tunajivunia Kwamba Mna-Support Muziki Ila Hiki Sio Nilichokitegemea. Nimesikitishwa Sana" - Rayvanny
JE, Unadhani Rayvanny Atakuwa Ameangushwa na kitu Gani Katika Tuzo Hizi ?
Msanii Wa Bongo Fleva MbossoKutoka #WCB Ametoa Maoni Yake Kuhusu Tuzo Za Muziki Tanzania "TMA"
#Mbosso Ameoneshwa Kushangazwa Na Vipengele Vilivyotangazwa Siku Ya Jana Ambapo Amedai Baadhi Nyimbo Zake Kali Kutokuwepo Katika Vipengele Hivyo Vya TMA
"KHAN EP ilikuwa Na Kigezo Gani Cha Kutokuwepo ALBUM/ EP Bora? Halafu Mniambie Zilizokuwepo Zimetoa Hit Ngapi Labda, Maana Khan Ep Imetoa (Shetani, Yataniua, Huyu Hapa, Assalam N.k).
Angalia hapa waliotajwa kuwania Full List: Mastaa waliotajwa kuwania Tuzo za Muziki Tanzania (TMA)
"TMA Tunajivunia Kwamba Mna-Support Muziki Ila Hiki Sio Nilichokitegemea. Nimesikitishwa Sana" - Rayvanny
JE, Unadhani Rayvanny Atakuwa Ameangushwa na kitu Gani Katika Tuzo Hizi ?
Msanii Wa Bongo Fleva MbossoKutoka #WCB Ametoa Maoni Yake Kuhusu Tuzo Za Muziki Tanzania "TMA"
#Mbosso Ameoneshwa Kushangazwa Na Vipengele Vilivyotangazwa Siku Ya Jana Ambapo Amedai Baadhi Nyimbo Zake Kali Kutokuwepo Katika Vipengele Hivyo Vya TMA
"KHAN EP ilikuwa Na Kigezo Gani Cha Kutokuwepo ALBUM/ EP Bora? Halafu Mniambie Zilizokuwepo Zimetoa Hit Ngapi Labda, Maana Khan Ep Imetoa (Shetani, Yataniua, Huyu Hapa, Assalam N.k).
Angalia hapa waliotajwa kuwania Full List: Mastaa waliotajwa kuwania Tuzo za Muziki Tanzania (TMA)