Hance Mtanashati
JF-Expert Member
- Sep 7, 2016
- 17,434
- 21,121
Bifu lilianzia baada ya hii interview aliyofanyiwa Chid Benz ,Chid alishauri Lady Jaydee akaimbe Gospel miaka miwili akae sawa ndipo arudi tena kwenye bongo fleva .
Sasa lady Jaydee aliona kama hii dharau fulani hivi akajibu mashambulizi πππππ
Ikumbukwe Lady Jaydee na Chid Benz walishawahi kuwa na bifu miaka hiyo ya nyuma mpaka ikapelekea Lady Jaydee kumfuta na kufuta verse alizofanya Chid Benz kwenye video ya wimbo wa UPO JUU japo si Chid wala Lady Jaydee aliyejitokeza kujibu sababu haswa ilikuwa ni Nini japo habari za chini chini inasemekana Chid akimtongoza Lady Jaydee,Lady Jaydee akaona kama kavunjiwa heshima na Chid ukizingatia amemuacha kiumri mbali sana.Lakini wengine wanadai Chid alimvimbia Lady Jaydee kuna baadhi ya gharama za ziada alikuwa anahitaji ikiwemo nguo za kushutia video,nauli nk maana kipindi hicho alienda Kenya kwenye show ,,Jide akaona isiwe shida akamfuta.
Twende kazi,
Ikumbukwe pia Chidi siku za hivi karibuni amekuwa mtu wa malalamiko kila kukicha akilaumu wasanii wenzake kutomsaidia, mara amlaumu Diamond anarudisha wasanii wenzake nyuma maana anapenda kusujudiwa ,mara amlaumu Manara nk
Tazama moja ya video yake hapa chini ππππ
Sasa ghafla bin vuuuu πππnaona Ray C katoka huku mafichoni kaja kununua ugomvi kana kwamba ujumbe wa Lady Jaydee ulikuwa unamuhusu yeye.
Ray C akarusha kijembe kwa Jide kwamba heri ya yeye mla unga lakini amezaa kuliko Jide ambaye ni tasa.
Tazama hapa ππππ
Baada ya hicho kijembe Cha Ray C ,Jide akaja tena kujibu mashambulizi .
Tazama tena ππππ
Mashabiki nao hawakuwa nyuma ,wametoa nao michango yao.
Tazama πππ
Ikumbukwe bifu la Jaydee na Ray C lilidumu kwa muda mrefu kipindi hicho sababu kuu inayoaminika na wengi ilikuwa kugombania kuwa juu kila mmoja kuona yupo juu kuliko mwenzake.
Baadaye hilo bifu liliisha na wakafanya wimbo wa pamoja unaoitwa Namlaumu kama sikosei.
Wakawa marafiki kimtindo na kushirikiana mambo mbalimbali kutembeleana nk.
Tazama hapa picha Yao ya pamoja.
Tunangojea majibu kutoka kwa Ray C tuone atajibu nini, tupo standbyπππππ
Sasa lady Jaydee aliona kama hii dharau fulani hivi akajibu mashambulizi πππππ
Ikumbukwe Lady Jaydee na Chid Benz walishawahi kuwa na bifu miaka hiyo ya nyuma mpaka ikapelekea Lady Jaydee kumfuta na kufuta verse alizofanya Chid Benz kwenye video ya wimbo wa UPO JUU japo si Chid wala Lady Jaydee aliyejitokeza kujibu sababu haswa ilikuwa ni Nini japo habari za chini chini inasemekana Chid akimtongoza Lady Jaydee,Lady Jaydee akaona kama kavunjiwa heshima na Chid ukizingatia amemuacha kiumri mbali sana.Lakini wengine wanadai Chid alimvimbia Lady Jaydee kuna baadhi ya gharama za ziada alikuwa anahitaji ikiwemo nguo za kushutia video,nauli nk maana kipindi hicho alienda Kenya kwenye show ,,Jide akaona isiwe shida akamfuta.
Twende kazi,
Ikumbukwe pia Chidi siku za hivi karibuni amekuwa mtu wa malalamiko kila kukicha akilaumu wasanii wenzake kutomsaidia, mara amlaumu Diamond anarudisha wasanii wenzake nyuma maana anapenda kusujudiwa ,mara amlaumu Manara nk
Tazama moja ya video yake hapa chini ππππ
Sasa ghafla bin vuuuu πππnaona Ray C katoka huku mafichoni kaja kununua ugomvi kana kwamba ujumbe wa Lady Jaydee ulikuwa unamuhusu yeye.
Ray C akarusha kijembe kwa Jide kwamba heri ya yeye mla unga lakini amezaa kuliko Jide ambaye ni tasa.
Tazama hapa ππππ
Baada ya hicho kijembe Cha Ray C ,Jide akaja tena kujibu mashambulizi .
Tazama tena ππππ
Mashabiki nao hawakuwa nyuma ,wametoa nao michango yao.
Tazama πππ
Ikumbukwe bifu la Jaydee na Ray C lilidumu kwa muda mrefu kipindi hicho sababu kuu inayoaminika na wengi ilikuwa kugombania kuwa juu kila mmoja kuona yupo juu kuliko mwenzake.
Baadaye hilo bifu liliisha na wakafanya wimbo wa pamoja unaoitwa Namlaumu kama sikosei.
Wakawa marafiki kimtindo na kushirikiana mambo mbalimbali kutembeleana nk.
Tazama hapa picha Yao ya pamoja.
Tunangojea majibu kutoka kwa Ray C tuone atajibu nini, tupo standbyπππππ