stata mzuka
JF-Expert Member
- Nov 25, 2012
- 4,834
- 1,750
Kampokea yesu!!?
Kwani kaja lini dar!?
Hahah...JF never bored...
Kampokea yesu!!?
Kwani kaja lini dar!?
SHETANI Hawezi kufurahia watu kumfuata YESU, Maaana anajua watapona na wataijua kweli itakayowaweka huru.
Ila YESU ni Mwanzo na Mwisho. Mungu anayetenda.
Ray C Mungu akubariki sana. Humu kuna watu watakukatisha taamaa kwa sababu ndio SHETANI anavyowatumia hivyo.
Umechagua fungu lililo jema.
Sent from my BlackBerry 9700 using JamiiForums
Nyie wafuasi wa mungu mzungu!
Ufahamu wenu woote na mtoto wa darasa la 4 hakuna tofauti kabisaa.
Mnaiga wazungu hata kwenda choo bila maji! Matokeo yake mnachafua mazingira!
Na kusababisha global warming! !
Mfanyakazi wangu akipata shida huwa ananikimbilia mimi!
Na ndugu wote na marafiki ninao wafahamu pia tunakimbiliana sisi kwa sisi!
Serikali yetu hatujawahi kuskia rais wetu nchi ikipata shida akamkimbilia yesu!
Halafu nilikuuliza! Nyie mnampokea yesu kila siku!
Je! Mnampokelea wapi?
We ndio matembele kweli kweli!
Aliyekwambia kuwa asiye mpokea yesu anaumwa ni nani?!
Pia unasema atakuwa huru! Kwani nani umeskia bado ni mtumwa!
Au ni zile ngonjera mnazoimba ndio zinakufanya ujione uko huru kuliko wengine!
Hebu weka sawa maneno yako! Manake mi nashindwa kuelewa hii misamiati yako.
Hata Mungu hamumjui,kazi ya kumswalia mtume tu kila uchwao..muacheni ajiswalie mwenyewe huko alipo kama kweli alitumwa na Mungu na si majini mnayoyaita ndugu zenu..eti tunakimbiliana sisi kwa sisi,sasa kule msikitini mnaendaga kufanya nin?au kucheza karate na kutengeneza mabomu?watoto wa kimasikini mna tabu sana,maana hao waarabu wenyewe waliowapa hyo dini waliwakameruni kwanza babu zenu
mbn povu linakutoka kwani wewe ndo shetani?
Nyie wafuasi wa mungu mzungu!
Ufahamu wenu woote na mtoto wa darasa la 4 hakuna tofauti kabisaa.
Mnaiga wazungu hata kwenda choo bila maji! Matokeo yake mnachafua mazingira!
Na kusababisha global warming! !
Na nyie wafasi wa Mungu Mwarabu, mnapelekwa pelekwa tu na waarabu kama punda
Na nyie wafasi wa Mungu Mwarabu, mnapelekwa pelekwa tu na waarabu kama punda